Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 10,502
- 16,711
Baada ya minong'ono ya muda mrefu kuhusu uwezekano wa China kuisaidia Urusi katika vita vyake na Ukraine hapo jana kwa mara ya mwanzo China imepeleka moja ya silaha zake kali za kutungulia ndege huko Serbia jirani na Urusi.
Katika msafara huo uliofanywa kwa siri ndege 6 za kubebea mizigo aina ya Y-20 zilitua Belgrade hatimae kwenda Serbia zikiwa zimebeba makombora ya kichina ya HQ-22 maalum kwa kutungulia ndege.
Hatua hiyo ya China imekuja wakati Urusi ikiwa imebadili kamanda wa kivita nchini Ukraine na rais Zelensky wa Ukraine naye akiwatolea jeuri mataifa ya NATO kwa kusema hana hamu tena na Diplomasia yao.
BELGRADE, Serbia — Russian ally Serbia took the delivery of a sophisticated Chinese anti-aircraft system in a veiled operation this weekend, amid Western concerns that an arms buildup in the Balkans at the time of the war in Ukraine could threaten the fragile peace in the region.
Are you on Telegram? Subscribe to our channel for the latest updates on Russia's war in Ukraine.
Media and military experts said Sunday that six Chinese Air Force Y-20 transport planes landed at Belgrade’s civilian airport early Saturday, reportedly carrying HQ-22 surface-to-air missile systems for the Serbian military.
Katika msafara huo uliofanywa kwa siri ndege 6 za kubebea mizigo aina ya Y-20 zilitua Belgrade hatimae kwenda Serbia zikiwa zimebeba makombora ya kichina ya HQ-22 maalum kwa kutungulia ndege.
Hatua hiyo ya China imekuja wakati Urusi ikiwa imebadili kamanda wa kivita nchini Ukraine na rais Zelensky wa Ukraine naye akiwatolea jeuri mataifa ya NATO kwa kusema hana hamu tena na Diplomasia yao.
BELGRADE, Serbia — Russian ally Serbia took the delivery of a sophisticated Chinese anti-aircraft system in a veiled operation this weekend, amid Western concerns that an arms buildup in the Balkans at the time of the war in Ukraine could threaten the fragile peace in the region.
Are you on Telegram? Subscribe to our channel for the latest updates on Russia's war in Ukraine.
Media and military experts said Sunday that six Chinese Air Force Y-20 transport planes landed at Belgrade’s civilian airport early Saturday, reportedly carrying HQ-22 surface-to-air missile systems for the Serbian military.


