China yaanza kuisaidia Urusi kwa siri

China yaanza kuisaidia Urusi kwa siri

Si mlikuwa mnakataa hapa kuwa Urusi haijaomba na wala haiwezi kuomba msaada wa kijeshi kutoka China?
Kupelekewa zaidi haina maana ya kuomba.Yawezekana ni zawadi za China kujipendekeza kwa Urusi au ana maana nyengine. Na si heshima kuletewa zawadi na nduguyo hasa wakati wa shida ukaikataa.
 
hasara itazidi kuwa kwao... africa na mchina damu damu... na miktaba tuliyo ingia nae ni raha tupu, kuanzia somalia mpka zambia, nenda misri mpaka ghana... rudi malysia, indonesia etc... na makampuni makubwa yatakayo pata hasara ni ya US ambayo yanafanya uzalishaji wake kutokea china kama iphone etc
Pole sana mkuu
 
🐒🐒🐒
A0cxAx.jpg
 
Ukosefu wa akili ni tatizo kwa taifa letu. Hizo ndege zimepeleka air defence systems zilizonunuliwa na Serbia mwaka 2020, zimebebwa kwa pamoja kwenye ndege sita maana hizo airlifters za China hazina capacity kama za Marekani C-17 Globemaster. Na hakuna siri yoyote hapo, ndege ziliwasha transponders kwenye frequency mbili tofauti na kuonekana popote duniani hata wewe hapo ungetaka kujua ungejua kupitia FlightRadar na online source nyingine.

Urusi inahusikaje na biashara baina ya Serbia na China ambayo ilifanyika 2020? Kwanza tangu lini China ikaiuzia Russia air defence system wakati huwa ni kinyume chake
 
Baada ya minong'ono ya muda mrefu kuhusu uwezekano wa China kuisaidia Urusi katika vita vyake na Ukraine hapo jana kwa mara ya mwanzo China imepeleka moja ya silaha zake kali za kutungulia ndege huko Serbia jirani na Urusi.

Katika msafara huo uliofanywa kwa siri ndege 6 za kubebea mizigo aina ya Y-20 zilitua Belgrade hatimae kwenda Serbia zikiwa zimebeba makombora ya kichina ya HQ-22 maalum kwa kutungulia ndege.

Hatua hiyo ya China imekuja wakati Urusi ikiwa imebadili kamanda wa kivita nchini Ukraine na rais Zelensky wa Ukraine naye akiwatolea jeuri mataifa ya NATO kwa kusema hana hamu tena na Diplomasia yao.

BELGRADE, Serbia — Russian ally Serbia took the delivery of a sophisticated Chinese anti-aircraft system in a veiled operation this weekend, amid Western concerns that an arms buildup in the Balkans at the time of the war in Ukraine could threaten the fragile peace in the region.

Are you on Telegram? Subscribe to our channel for the latest updates on Russia's war in Ukraine.

Media and military experts said Sunday that six Chinese Air Force Y-20 transport planes landed at Belgrade’s civilian airport early Saturday, reportedly carrying HQ-22 surface-to-air missile systems for the Serbian military.

Sa kama kisiriiii we umejuajee ........ iyo sio kisiri tena iyo ni china inaisaidia urusi
 
Baada ya minong'ono ya muda mrefu kuhusu uwezekano wa China kuisaidia Urusi katika vita vyake na Ukraine hapo jana kwa mara ya mwanzo China imepeleka moja ya silaha zake kali za kutungulia ndege huko Serbia jirani na Urusi.

Katika msafara huo uliofanywa kwa siri ndege 6 za kubebea mizigo aina ya Y-20 zilitua Belgrade hatimae kwenda Serbia zikiwa zimebeba makombora ya kichina ya HQ-22 maalum kwa kutungulia ndege.

Hatua hiyo ya China imekuja wakati Urusi ikiwa imebadili kamanda wa kivita nchini Ukraine na rais Zelensky wa Ukraine naye akiwatolea jeuri mataifa ya NATO kwa kusema hana hamu tena na Diplomasia yao.

BELGRADE, Serbia — Russian ally Serbia took the delivery of a sophisticated Chinese anti-aircraft system in a veiled operation this weekend, amid Western concerns that an arms buildup in the Balkans at the time of the war in Ukraine could threaten the fragile peace in the region.

Are you on Telegram? Subscribe to our channel for the latest updates on Russia's war in Ukraine.

Media and military experts said Sunday that six Chinese Air Force Y-20 transport planes landed at Belgrade’s civilian airport early Saturday, reportedly carrying HQ-22 surface-to-air missile systems for the Serbian military.


Chuma hicho....
 
Kupelekewa zaidi haina maana ya kuomba.Yawezekana ni zawadi za China kujipendekeza kwa Urusi au ana maana nyengine. Na si heshima kuletewa zawadi na nduguyo hasa wakati wa shida ukaikataa.
China ajipendekeze kwa Urusi kwa lipi special Urusi alilonalo?
 
China ajipendekeze kwa Urusi kwa lipi special Urusi alilonalo?
Hatuzungumzii kujipendekeza isipokuwa kama China wamefanya hivyo ni njia ya kumuonesha Urusi kuwa fanya tu na sisi tuko nyuma yako.Hiyo kwa China ni jambo jema kwani adui wa Urusi na China ni huyo huyo.Hivyo kufanya hivyo ni kumpa moyo mwenzake kuwa asirudi nyuma,achukue hicho kidogo kwanza na akitaka zaidi aseme tu.Zaidi inaweza kuwa akitaka vijana wajiunge naye kuongoza hiyo mitambo yake asikae kimya.
Huoni wanachokifanaya Marekani na wenzake.Wenyewe bado hawako tayari kuingia uwanjani lakini wanatamani Zelensky amshinde au amtie hasara kubwa Urusi.Hivyo kila siku wanampa ahadi za uongo na kumtia moyo asirudi nyuma katika vita.Kwanini kwa sababu anapigana na adui yao ambaye wao hawapendi kujitokeza hadharani. Umeelewa ?
 
nikiripoti kutoka ukraine kwenye hii vita kali ni mimi Mrusi bandia na Bahiliiiii.
 
Back
Top Bottom