lendila
JF-Expert Member
- Sep 26, 2012
- 5,805
- 4,374
kuna baadhi ya watanzania wanataka kuleta utapeli kwa watanzania
china.ni taifa lilikuwa la kijamaa limeshidwa ujamaa pia tanzania ilikuwa nchi ya kijamaa imeshindwa,lkn kuna baadhi ya watnzania wachache wanataka kuwahadaa watanzania kuwa wanataka kuturudisha kwenye ujamaa
Nchi karibu zote zilizokuwa za kijamaa zimeshindwa,nchi pekee iliyobaki ya kijamaa ni korea kaskazini pekee,sasa hawa wanasiasa wanataka kuturudisha kwenye ujamaa wanafikiri vizuri kweli?
wanasiasa kwa sasa inabidi waelekeze nguvu zao kutetea rasm ya mzee warioba ndio inatoa dira.nzuri ya taifa letu,sio kila mtu aje na mipango yake
china.ni taifa lilikuwa la kijamaa limeshidwa ujamaa pia tanzania ilikuwa nchi ya kijamaa imeshindwa,lkn kuna baadhi ya watnzania wachache wanataka kuwahadaa watanzania kuwa wanataka kuturudisha kwenye ujamaa
Nchi karibu zote zilizokuwa za kijamaa zimeshindwa,nchi pekee iliyobaki ya kijamaa ni korea kaskazini pekee,sasa hawa wanasiasa wanataka kuturudisha kwenye ujamaa wanafikiri vizuri kweli?
wanasiasa kwa sasa inabidi waelekeze nguvu zao kutetea rasm ya mzee warioba ndio inatoa dira.nzuri ya taifa letu,sio kila mtu aje na mipango yake