Mr. Mangi
JF-Expert Member
- Sep 21, 2014
- 1,512
- 771
Ujamaa ni nini?
ujamaa ni mfumo wa kiuchumi ambao kazi zote za uzalishaji, mgawanyo wa mapato kwa usawa, rasimali za nchi, n.k zinamilikiwa na kuongozwa na serikali kwa niaba ya wananchi pia mfumo huu unalenga kuwa na wananchi wenye usawa ktk kila kitu mfano kule china miaka hiyo walifikia hatua ya kuchangia mke ama mume kutokana na dhana ya usawa, pia ni uchumi ambao umefunga milango yake kwa nchi yoyote kuingiza bidhaa ndani kwa maana nyingine wanatumia walichozalisha pia ni mfumo ambao hauna porojo nyingi za kisiasa na hamna vyama vingi. Ila mfumo huu umefeli kwa kiasi kikubwa kutokana baadhi ya watawala/viongozi kutokuwa waaminifu na baadhi ya vigezo kutotekelezeka