Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,026
- 828,817
China tayari Imeanzisha Mtandao wa Broadband wa Kwanza wa "10G" Duniani! 🤯
Kumbuka sio 6 ah 7G ni 10G!... Mshindani wake mkubwa Marekani bado anahangaika na 6G kuitafuta 7G😀
Sisi huku Afrika tuendelee tu kunywa mtorii na kufanyiana figisu za kisiasa, hayo mengine tuyasome Kama simulizi za Alfu lela ulela au siku elfu na moja (1001)
Mvimba macho kapita na spidi ya ngiri kiyeo juu katuachia vumbi tuu😀😀😀
NB: Tudadavue uhalisia wa hii habari
Kumbuka sio 6 ah 7G ni 10G!... Mshindani wake mkubwa Marekani bado anahangaika na 6G kuitafuta 7G😀
Sisi huku Afrika tuendelee tu kunywa mtorii na kufanyiana figisu za kisiasa, hayo mengine tuyasome Kama simulizi za Alfu lela ulela au siku elfu na moja (1001)
Mvimba macho kapita na spidi ya ngiri kiyeo juu katuachia vumbi tuu😀😀😀
NB: Tudadavue uhalisia wa hii habari