Yes, Japan ni developed country, sema si rahisi kupata kazi kama kwingine, lakini wako vizuri....Mtu akimbilie Japan ???? Ngoja waje
Yes, japan ni developed country, sema si rahisi kupata kazi kama kwingine, lkn wako vizuri....Mtu akimbilie Japan ???? Ngoja waje
Watu wengi wanajuwa kwamba china ni nchi iliyoendelea. China sio developed country, ni nchi inayoendelea
Uchumi wa china wa 18trillion USD GDP ni mdogo ukilinganisha na wingi wa raia wake. Pato la mwananchi wa kawaida wa china ni mdogo ukilinganisha na mataifa kama Japan, Germany, USA, UK, France🇫🇷 nk.
Kwasababu ya udogo wa uchumi wa china, hata wa china wenyewe wanakimbilia USA, Europe, Japan, south Korea, Canada kutafuta maisha
Hata hapa Africa, huwezi kusikia mtu anakimbilia kutafuta maisha china. Mtu atapigana kwenda USA, Japan, Europe kutafuta maisha.
China bado sana. Level zake ni misri, Algeria, Thailand
AiseehChina bado sana. Level zake ni misri, Algeria, Thailand
Are you sure? Umewahi fika Guangzhou?Hata hapa Africa, huwezi kusikia mtu anakimbilia kutafuta maisha china. Mtu atapigana kwenda USA, Japan, Europe kutafuta maisha.
Watu wengi wanajuwa kwamba china ni nchi iliyoendelea. China sio developed country, ni nchi inayoendelea
Uchumi wa china wa 18trillion USD GDP ni mdogo ukilinganisha na wingi wa raia wake. Pato la mwananchi wa kawaida wa china ni mdogo ukilinganisha na mataifa kama Japan, Germany, USA, UK, France🇫🇷 nk.
Kwasababu ya udogo wa uchumi wa china, hata wa china wenyewe wanakimbilia USA, Europe, Japan, south Korea, Canada kutafuta maisha
Hata hapa Africa, huwezi kusikia mtu anakimbilia kutafuta maisha china. Mtu atapigana kwenda USA, Japan, Europe kutafuta maisha.
China bado sana. Level zake ni misri, Algeria, Thailand
sio kwelMbona hizo nchi zote ulizo zitaja hapo kwa vipato vya mtu mmoja mmoja zinazidiwa mbali sana na Qtaar,UAE,Brunei, Singapore, kwahiyo hizo Ujerumani haijaendelea kisa inazidiwa na Qtaar kwenye kipato cha mtu mmoja mmoja?
Umefika lakini China? Nimesoma miaka mitatu kwa Scholarship nina uhalisia wa huko Embu google miji kama Beijing na Shanghai
Umefika lakini China? Nimesoma miaka mitatu kwa Scholarship nina uhalisia wa huko Embu google miji kama Beijing na Shanghai
umemaliza kazi, asantena Tanzania maana wanakimbilia huku , wamejaa mpaka vijijini wanauza mahindi ya kuchoma
View attachment 2878518 View attachment 2878519
Nchi zinazoendelea wanapewa advantages nyingi katika biashara hili ziendelee kukua ikiwemo kwenye ulipaji wa kodi ndio maana china yy anakomaa kwenye hiko kipengele hataki kuondolewa kwenye hzo nchi hao jamaa wanaakili ya kazi weng'ang'ana kuwaponda tu sasa ww hujifikiri kweli china awe kundi moja na Tanzania,uganda,kenya na somaliaWatu wengi wanajuwa kwamba china ni nchi iliyoendelea. China sio developed country, ni nchi inayoendelea.
Uchumi wa China wa 18 trillion USD GDP ni mdogo ukilinganisha na wingi wa raia wake. Pato la mwananchi wa kawaida wa China ni mdogo ukilinganisha na mataifa kama Japan, Germany, USA, UK, France🇫🇷 nk.
Kwasababu ya udogo wa uchumi wa China, hata wa china wenyewe wanakimbilia USA, Europe, Japan, south Korea, Canada kutafuta maisha.
Hata hapa Afrika, huwezi kusikia mtu anakimbilia kutafuta maisha China. Mtu atapigana kwenda USA, Japan, Europe kutafuta maisha.
China bado sana. Level zake ni Misri, Algeria, Thailand
Nimesoma na wachina nchini sweden, japan, USA and other western countries, wote wanataka kuzamia west and USa. Nipe sababu ya hilo
Wabongo wape picha tu maneno watajaza wao maana ujuaji ni mahala pake.Umefika lakini China? Nimesoma miaka mitatu kwa Scholarship nina uhalisia wa huko Embu google miji kama Beijing na Shanghai