Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiiii heno heno... We Chat; ila chochote mnacho-chat lazima kiende central intelligence, kikaguliwe kabla ya kuruhusiwa kuwa exchanged. Kisipowapendeza wakubwa utachukuliwa nyumbani kwako na hutoonekana tena forever!
Hivi ata wageni kutoka nje hawaruhusiwi kutumia whatsapp?... We Chat; ila chochote mnacho-chat lazima kiende central intelligence, kikaguliwe kabla ya kuruhusiwa kuwa exchanged. Kisipowapendeza wakubwa utachukuliwa nyumbani kwako na hutoonekana tena forever!
... whatsapp and the like ziko blocked completely kuonekana China.Hivi ata wageni kutoka nje hawaruhusiwi kutumia whatsapp?
Sawa... whatsapp and the like ziko blocked completely kuonekana China.
We chatWadau wa JamiiForums napenda kujua nia APPLICATION gaini Nchini CHINA Inayotumiwa kama WhatsApp maana naona WhatsApp huko haifanyi kazi.
Hazipo from their release au zilikuwepo afu zikapigwa ban na kwanini?... whatsapp and the like ziko blocked completely kuonekana China.
Je, mimi mtu wa nje naweza kuwasiliana nao hao wachina?We chat
Inatumika wechat ila ila hata whatsaap and other applications unatumia ila mpaka utumie VPN ila wechat hutumii VPNHivi ata wageni kutoka nje hawaruhusiwi kutumia whatsapp?
... miaka ya nyuma zilikuwepo kama kawaida; mabifu yalipoanza kati ya US na China ndio mchina akatunisha misuli. Kwa mfano Whatsapp ilipigwa marufuku China 2017.Hazipo from their release au zilikuwepo afu zikapigwa ban na kwanini?
Whatsaap,Facebook zipo na zinatumika ila mpaka uwe na VPNnashindwa kuwaelewa..tuna group WhatsApp la kuagiza bidhaa kutoka china na huwa tunachat vzur tu na jamaa anaetutumia mizigo yetu, si kweli kwamba ipo completely blocked
Duh vyuma vikaumana kwahiyo?... miaka ya nyuma zilikuwepo kama kawaida; mabifu yalipoanza kati ya US na China ndio mchina akatunisha misuli. Kwa mfano Whatsapp ilipigwa marufuku China 2017.
nashindwa kuwaelewa..tuna group WhatsApp la kuagiza bidhaa kutoka china na huwa tunachat vzur tu na jamaa anaetutumia mizigo yetu, si kweli kwamba ipo completely blocked