BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,554
- 9,238
Kuna kipindi simba anawakimbia mbwa mwitu!!
Fact...
Kuna kipindi simba anawakimbia mbwa mwitu!!
washirika wa Urusi.
1.China
2.Cuba
3.Iran
4.North Korea
5.Venezuela
6.Syria
7.Bolivia
Washirika wa Marekani.
1.UK
2.Germany
3.France
4.Japan
5.South Korea
6.Israel
7.Canada
Piga hesabu mwenyewe ni nani atashinda vita?
Hapo hakuna ubishi octa america inachukua ushindi asubuhi na mapemawashirika wa Urusi.
1.China
2.Cuba
3.Iran
4.North Korea
5.Venezuela
6.Syria
7.Bolivia
Washirika wa Marekani.
1.UK
2.Germany
3.France
4.Japan
5.South Korea
6.Israel
7.Canada
Piga hesabu mwenyewe ni nani atashinda vita?
Wachina wanapigana na Marekani kiuchumi, sio ki silaha kama wengi tunavyofikiri! Marekani kanyosha mikono kwa Mchina kwenye uchumi! Mpaka anakimbilia kuongeza kodi kwenye bidhaa kutoka China na Ulaya ili kulinda masoko na viwanda vya ndani. Nayo hii haimsadii sana kwa sbb China nayo imepiga kodi kubwa kwenye import za kutoka USA. By the way viwanda vingi vya Wamarekani vimehamia China kwa abb ya profit kubwa inayotokana na cheap labour. Naongelea General Motors, Apple nk.Hapo hakuna ubishi octa america inachukua ushindi asubuhi na mapema
Ulikusudia kuchangia mada gan?! Make mada hii ni pusi wawili China na Russia kuungana dhidi ya simba dume lenye meno makali US.NATO,nchi 29+ dhidi ya Kinyau kimoja ambacho ni Russian Federation.Sasa hapa sijui tuite Simba wa makaratasi dhidi ya vinyau viwili.!
Kumbe ni kipindi tu! Sawa. Na nyau je? Hawa wawili no nyau wala sio mbwa mwituKuna kipindi simba anawakimbia mbwa mwitu!!
Urusi ni nyau??[emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23]Vinyau vinaungana kupambana na simba, kichekesho cha mwaka
AAAH hujaelewa nini Mkuu? wewe umesema vinyau viwili,Yaani kinyau China na kinyau Urusi vimeungana kumkabili Simba.Sasa na mimi nakuambia hivi,kinyau kimoja tu yaani Urusi kinamsumbua Simba mmoja na familia yake ya simba 29+ yaani Marekani na membe wengine 28 wa umoja wa NATO! Una makengeza wewe?Ulikusudia kuchangia mada gan?! Make mada hii ni pusi wawili China na Russia kuungana dhidi ya simba dume lenye meno makali US.
kwenye vita hii wingi si hoja, hujawahi kusikia mrusi ana bomu la kuizamisha ufaransa baharini kwa sekunde tu, unadhani liko moja?NATO,nchi 29+ dhidi ya Kinyau kimoja ambacho ni Russian Federation.Sasa hapa sijui tuite Simba wa makaratasi dhidi ya vinyau viwili.!
daahUpande wa mange kimambi
😀😀😀😀😀😀😀Hapo Mmarekani anawaangilia na kucheeeka! Anasema hiiiiii
Kuna kipindi simba anawakimbia mbwa mwitu!!
Itapendeza kama tutakuwa upande wa mrusitanzania tuko upande wa nani?
Kwanza ndio maana marekan hata haon haja ya kujibu manake anaona ni Mr.Bean na Cosby wamekutana eti kuwa doctors...kuna mgonjwa wa kupona kweli..[emoji23] [emoji23] [emoji23] halafu Simba akigeuka akaunguruma tu wote nduki
Edward Snowden anachafua sana dunia tokea aondoke pale marekani amemwaga siri nyingi sanaMjermani ana mahusiano na urrusi ktk masuara ya kijasusi,kuna kipindi mjerumani aliwahi kupewa taarifa na K.g.b. ya urussi kuwa awe makini anapelelezwa na marekani kuna kipindi ufaransa na ujerumani ziliwahi kuishutumu sn marekani na zilitoa matamko makali sn.