China na Urusi zaungana kuikabili Marekani

China na Urusi zaungana kuikabili Marekani

Mjermani ana mahusiano na urrusi ktk masuara ya kijasusi,kuna kipindi mjerumani aliwahi kupewa taarifa na K.g.b. ya urussi kuwa awe makini anapelelezwa na marekani kuna kipindi ufaransa na ujerumani ziliwahi kuishutumu sn marekani na zilitoa matamko makali sn.
Tena nashangaa hao NATO wengi wanadukuliwa lakini huyo Nyau wameshindwa kuduku mawasiliano yake
 
Soma historia ya WWll. Ujue role ya Russians,then ndo utajua kama ni Nyau au mee.
Unajua kuna watu hawamjui russia ni nani?! Napenda niwaeleze ukweli,ikifikia kipindi cha kuonyesha nguvu ya kijeshi,! Russia hana cha nato.kuna kipindi alipenyeze miwani maalumu kwenye vita ya iraq,majeshi ya nato na ndege za nato zilidunguliwa zaidi ya ndege 21.nato ilirudi nyuma kw week 2.
 
washirika wa Urusi.
1.China
2.Cuba
3.Iran
4.North Korea
5.Venezuela
6.Syria
7.Bolivia
Washirika wa Marekani.
1.UK
2.Germany
3.France
4.Japan
5.South Korea
6.Israel
7.Canada
Piga hesabu mwenyewe ni nani atashinda vita?
obviously Russia....... hio collabo yake imejaa vichwa maji, afu wote wakorofi.........

hao wa ulaya saiz wamejichokea,
 
Unajua kuna watu hawamjui russia ni nani?! Napenda niwaeleze ukweli,ikifikia kipindi cha kuonyesha nguvu ya kijeshi,! Russia hana cha nato.kuna kipindi alipenyeze miwani maalumu kwenye vita ya iraq,majeshi ya nato na ndege za nato zilidunguliwa zaidi ya ndege 21.nato ilirudi nyuma kw week 2.
Mkuu anzisha uzi wa habari ya miwani, maana ni nzuri sn
 
Hakuna Mshindi. Acha ushabiki wa kipumbavu hichi ndicho kitakachotokea.
IMG-20180314-WA0037.jpg
 
AAAH hujaelewa nini Mkuu? wewe umesema vinyau viwili,Yaani kinyau China na kinyau Urusi vimeungana kumkabili Simba.Sasa na mimi nakuambia hivi,kinyau kimoja tu yaani Urusi kinamsumbua Simba mmoja na familia yake ya simba 29+ yaani Marekani na membe wengine 28 wa umoja wa NATO! Una makengeza wewe?
Hata sielewi unachangia thread ipi, ebu ngoja nikukumbushe, hapa ni China+urusi vs US army.
 
washirika wa Urusi.
1.China
2.Cuba
3.Iran
4.North Korea
5.Venezuela
6.Syria
7.Bolivia
Washirika wa Marekani.
1.UK
2.Germany
3.France
4.Japan
5.South Korea
6.Israel
7.Canada
Piga hesabu mwenyewe ni nani atashinda vita?
Israel ni mshirika wa US lkn sio kwa vita vya US na Russia. Soma historia vizuri, huyo Netanyahu mwenyew amezaliwa na kukulia Soviet, anandugu kibao Russia.

Ndio maana migogoro inayohusu Russia na US, Israel inabaki idle.
 
India yupo upande upi maana sidhan kwa nchi kubwa kama ile ikawa kizembekizembe kwenye ulinzi
 
washirika wa Urusi.
1.China
2.Cuba
3.Iran
4.North Korea
5.Venezuela
6.Syria
7.Bolivia
Washirika wa Marekani.
1.UK
2.Germany
3.France
4.Japan
5.South Korea
6.Israel
7.Canada
Piga hesabu mwenyewe ni nani atashinda vita?
Uwezo wako wakufikiri ni mdogo sana....
 
Vinyau vinaungana kupambana na simba, kichekesho cha mwaka
Vinaweza kushinda lkn, ushindi ni target tu....mbwa mwitu wanamla simba watakavyo tu kwann jiulize...mwisho wa marekani kuwa kinara duniani kijeshi unaanza taratiiibu...
 
Hata sielewi unachangia thread ipi, ebu ngoja nikukumbushe, hapa ni China+urusi vs US army.
Wewe ndo huelewi unachangia thread ipi hau hata hukusoma ulifuata trend ya wachangiaje
 
Hapo Japan, Germany na DRK hao sio wakuwategemea maana hao wote wanauchungu wakihistoria na marekan, wamekaa kimya na kujifanya wanamsikiliza ili tuuu mambo yao yaende sawa, ila awawezi kubali kuumia kumkomboa marekan

Mkuu umesahau Italy,nakwambia jamaa hao wakiona kuna kila dalilikwamba USA inaweza kulemewa watamgehuka fasta na kulipiza kisasi cha kipigo cha WW2.
 
Bas tufanye France, UK, Germany na wote mnaowapenda wako upande was Russia vs Trump na Magufuli bado Russia atataga tu
 
Back
Top Bottom