O Omnibu JF-Expert Member Joined Sep 9, 2024 Posts 389 Reaction score 388 Sep 9, 2024 #21 THOM DAIRY, kama.sikosei ndie aliyekuwa mmiliki wa mabada ya kisasa ya maziwa Dar nzima yakiitwa FRESH MILK
THOM DAIRY, kama.sikosei ndie aliyekuwa mmiliki wa mabada ya kisasa ya maziwa Dar nzima yakiitwa FRESH MILK
C Conquistador JF-Expert Member Joined Jun 10, 2024 Posts 1,435 Reaction score 3,497 Sep 9, 2024 #22 Kimara Suka palikua na bar inaitwa suka . Kumbuka Suka maana yake Ni dereva. Kimara stop over palikua na bar inaitwa STOP OVER.
Kimara Suka palikua na bar inaitwa suka . Kumbuka Suka maana yake Ni dereva. Kimara stop over palikua na bar inaitwa STOP OVER.