Childishness and Predictability in Korean Series

Childishness and Predictability in Korean Series

Logikos

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2014
Posts
17,572
Reaction score
27,317
Hapa siongelie zile historical kama Jumong, Yisan, Painter of the Wind, Tree with Deep Roots n.k., naongelea zile modern.

Kwa kweli nyingi nazoziona ni kama zinafanafana saana as well as ni predictable unaweza kujua ni nini kitatokea. Alafu zipo a bit childish, Plot zake unakuta mtu anafanya revenge kuumiza wale waliomuumiza ila eti na yeye anaumiza wale wa karibu yake na yeye kuumia mwenyewe (kitu ambacho kinaondoa dhana ya yeye ku-revenge in the first place)

Nyingi zina story nzuri overall lakini plot zake zinakuwa za kitoto na zina-defy logic. Sijui ni tatizo langu pekee au na wengine pia, nadhani wapo vizuri sana kwenye zile historical lakini kwenye modern series nadhani za western bado zipo juu as well as dialogue inasaidia kuzifanya ziwe bora, pia zipo more realistic.
 
Ni kweli mkuu mimi ni mpenzi sana hizo is hu lakin nyengne adi unajuta kwa nn umefatilia
 
Ni kweli mkuu me in mpenzi sana hizo is hu lakin nyengne adi unajuta kwa nn umefatilia

Nyingi nzuri kwakweli, hususan hizo za historical kama nilivyosema hapo juu ila nyingi hizi za kisasa kama zinafanana.., alafu mapenzi yao ya sitaki nataka, bora ya kihindi uwa wanatuburudisha na nyimbo..., anyway wanajitahidi ila nadhani hizo modern waandishi wao inabidi wafanye kazi ya ziada kuweka mambo more realistic na kuacha mapendi ya kitoto
 
Nyingi nzuri kwakweli.., hususan hizo za historical kama nilivyosema hapo juu ila nyingi hizi za kisasa kama zinafanana.., alafu mapenzi yao ya sitaki nataka, bora ya kihindi uwa wanatuburudisha na nyimbo..., anyway wanajitahidi ila nadhani hizo modern waandishi wao inabidi wafanye kazi ya ziada kuweka mambo more realistic na kuacha mapendi ya kitoto
Tafuta Joseon Gunman... its still ongoing, but ya ukweli kinooma
 
Tafuta Joseon Gunman... its still ongoing, but ya ukweli kinooma

Kwa sasa nimerudi kwenye zile historical/periodical.. (yaani za kizamani) ninaangalia kwa sasa Gye Baek; looks promising
 
Kwa sasa nimerudi kwenye zile historical/periodical.. (yaani za kizamani) ninaangalia kwa sasa Gye Baek; looks promising

That one is good, very good, but sad ending...
Joseon Gunman is historical and still on going..
I just love it. Promising too.
 
Du nilidhani mimi npo peke yangu of course séries sa kikorea utoto mwingi sana. hasa za mapenzi séries km man called god star alikuwa anapewa mashavu km James bond yaan anawaambia nakuja polisi wanajikusanya km mia na still anafanya yake na anaindoka bila kukamatwa,hii kiuhalisia ilikuwa haimake sense
 
Du nilidhani mimi npo peke yangu of course séries sa kikorea utoto mwingi sana. hasa za mapenzi séries km man called god star alikuwa anapewa mashavu km James bond yaan anawaambia nakuja polisi wanajikusanya km mia na still anafanya yake na anaindoka bila kukamatwa,hii kiuhalisia ilikuwa haimake sense

Hahaahaaa.... I love that.. a man called god.
 
Aiseee am in love na hizo korean drama mie kwakweli nazipenda sana
 
Wakuu naulizia Torrent nitakayoweza pata hizi series za wakorea hasa zile za kizamani.
 
Aiseee am in love na hizo korean drama mie kwakweli nazipenda sana

Ofcourse ni nzuri hususan zile za kizamani.., ila yale mapenzi yao.., na sometimes plot zao au mambo yanayofanyika justification zake leave a lot to be desired.., alafu nyingi ukiangalia (hususan za kisasa unajua tu nini kitatokea mwisho wake) alafu naona ma-directors wengi wa Korea wanapenda endings za kusikitisha not always a good ending
 
Du nilidhani mimi npo peke yangu of course séries sa kikorea utoto mwingi sana. hasa za mapenzi séries km man called god star alikuwa anapewa mashavu km James bond yaan anawaambia nakuja polisi wanajikusanya km mia na still anafanya yake na anaindoka bila kukamatwa,hii kiuhalisia ilikuwa haimake sense

That why called a god
 
Du nilidhani mimi npo peke yangu of course séries sa kikorea utoto mwingi sana. hasa za mapenzi séries km man called god star alikuwa anapewa mashavu km James bond yaan anawaambia nakuja polisi wanajikusanya km mia na still anafanya yake na anaindoka bila kukamatwa,hii kiuhalisia ilikuwa haimake sense

Hata uigizaji wao bado sana, uigizaji wao umekaa kikomedi komedi na hazina uhalisia.
 
Back
Top Bottom