Avanti
JF-Expert Member
- Aug 24, 2010
- 1,209
- 239
Nilihuzunika sana Mzee kama Ndesamburo kutoa malalamiko kama yale mbele ya kadamnasi. Si kawaida kwa mtu mwenye uzee kama wa Ndesamburo kulalamika vile. Alifikia hatua ambayo si ya kawaida kijazba, kwani hata kama kulikuwa na kosa lililosababisha mivutano, basi polisi wangeangalia wazee wasipigwe mabomu hata kama wapo kwenye maandamano. Kama ilivyokwishasemwa hata first lady wetu haikupaswa afanywe vile, polisi wa Arusha, nashindwa niwachukuliaje!!?? Anyway labda watajirekebisha!