Chiku Abwao akiwachana Peter Msigwa na Edward Lowassa

Chiku Abwao akiwachana Peter Msigwa na Edward Lowassa

huyo mama ubunge ataudikua au kuuangalia kupitia tv au radio maisha yake yote.acha afanye anachofanya.sisi tumeshaamua ni msigwa na lowasa tu zito wake hata ubunge hawezi pata tena.chezea ukawa wewe.

naona kama huyu mama anachanganya mada vile? Kwani lowassa ndio yuko madarakani? Mbona anamshambulia mpinzani mwenzake?

Huyu ni mpinzani kweli?
 
attachment.php

Unampatia kweli
 
Hana lolote mpinzani Wa kweli hawezi kumponda mpinzani mwenzake ninavyoamini vyama vya upinzani adui yao in chama tawala lakini Tanzania kuna wapinzani uchwara kama akina Chiku Abwao
 
Mkuu zigo la Rich ni la mkuu wa nchi Lowassa alisema bila kumungunya maneno hapo pambanua mwizi nani....
 
Safi sana mama, wanaopingana na wewe siku zao z ubishi zinahesabika.
ACT wazalendo italeta misingi mema
 
uyu mama angejitoa tu kwenye kinyang'anyiro
 
Piga kazi mama!! Hadi sasa act wana majimbo 3 kigoma... 2 tabora..... 1 iringa.....1 morogoro...1 mwanza
madiwani lukuki....

Tujiandae kukipokea chama kipya cha upinzani bungeni.........chenye watu wenye mwamko chanya.... Pole sana msigwa pole sana kafulia na mkosa mali majina yenu yanaakisi majanga yatayowakuta......mtajuta kumfahamu nyeupe the don...
 
Amewachana Hajawachana Kachanwa yeye October 25.UKAWA VIVA😛eace:
 
Piga kazi mama!! Hadi sasa act wana majimbo 3 kigoma... 2 tabora..... 1 iringa.....1 morogoro...1 mwanza
madiwani lukuki....

Tujiandae kukipokea chama kipya cha upinzani bungeni.........chenye watu wenye mwamko chanya.... Pole sana msigwa pole sana kafulia na mkosa mali majina yenu yanaakisi majanga yatayowakuta......mtajuta kumfahamu nyeupe the don...

Chiku anajua hatashinda ubunge wa jimbo ila ana uhakika wa kuingia bungeni kupitia viti maalumu.
 
Mkuu zigo la Rich ni la mkuu wa nchi Lowassa alisema bila kumungunya maneno hapo pambanua mwizi nani....

Wote ni wezi huwezi kuiba pesa nyingi za serikali mtu Mmoja hujui hilo,watu wote wenye akili timamu wanajua hilo kikwete,lowassa,kalamagi,msabaha,rostam ndio waizi wa richmond so kikwete hana cha kupoteza anamalizia urais wake anajipumzikia,issue ni kwa lowassa anaetaka urais ,amejitahidi sanasana kujisafisha na wewe unamsaidia naamini sio bure ushavuta chako,na ndani ya nafsi yako unajua lowasa hawezi kuwa rais wa tz ever! amechelewa ni muizi
 
Ni rais utake usitake kwani sisi wananchi tumeamua tunataka mabadiliko . Lowassa juu , leta mfumo mpya wa utawala baba kama wanakula nyembe halali yao! Huyo bwana Mafufuri na nyumba za umma unasemaje ? Akapige pushup sana lakini as long as yupo ccm nooooo ........
 
Cheap popularity, huyo mama alijimaliza kwa kukosa msimamo.
Shibuda namkubali kwa msimamo wake suala la posho alihoji ktk vikao vya chama na sababu hakukubaliana na hoja alisimamia msimamo wake.

Chiku aliinamisha kichwa na kukubaliana ktk vikao lakini alishindwa kutekeleza maamuzi ya wote kwa kuvizia posho, mtu wa aina hii sipotezi naye muda
 
Wote ni wezi huwezi kuiba pesa nyingi za serikali mtu Mmoja hujui hilo,watu wote wenye akili timamu wanajua hilo kikwete,lowassa,kalamagi,msabaha,rostam ndio waizi wa richmond so kikwete hana cha kupoteza anamalizia urais wake anajipumzikia,issue ni kwa lowassa anaetaka urais ,amejitahidi sanasana kujisafisha na wewe unamsaidia naamini sio bure ushavuta chako,na ndani ya nafsi yako unajua lowasa hawezi kuwa rais wa tz ever! amechelewa ni muizi
RICH ya miaka minane iliyopita. Na je ESK ya juzi tunaiweka katika kategoria gani?
 
Back
Top Bottom