TataMadiba
JF-Expert Member
- Feb 7, 2014
- 9,870
- 5,755
Anawaambia wana iringa kuwa Msigwa amehongwa na kuacha kusimamia alichokuwa anakiamini kuhusu LOWASSA na kuwataka wamhoji mbona alisema wanaomshabikia LOWASSA wakapimwe akili na mbona leo anamkubatia , kunanini nyuma yake?
[video=youtube_share;PF4fRXt9AY0]http://youtu.be/PF4fRXt9AY0[/video]
[video=youtube_share;PF4fRXt9AY0]http://youtu.be/PF4fRXt9AY0[/video]