Mr.Venture
JF-Expert Member
- Jan 2, 2014
- 1,609
- 605
Kauona amekosa Uteuzi wa kugombea jimbo la Isman baada ya kuona Dogo Sosopi anakubalika.
Aende tu.
Aah! Kumbe. Alafu mbona hata bungeni hakuwa na mchango wowote, mi nilikuwa nadhani ni wa ccm.
Kauona amekosa Uteuzi wa kugombea jimbo la Isman baada ya kuona Dogo Sosopi anakubalika.
Aende tu.
Amejipima ameona kabisa hatoshi, wacha akatafute kwenye size zake!Huyo anamaono...ameshashtukia chadema imekosa dira na kamwe nchi haiwezi kuongozwa na Zombie
hiyo ni kazi ya kura ya maoni ndio imemfikisha huko, na najua kama mchakato wa ccm ungekuwa bado tungemsikia yuko huko lakini kwa vile anatafuta kula lazima akimbilie huko. HIYO NI KAZI YA SOSOPI
Amejipima ameona kabisa hatoshi, wacha akatafute kwenye size zake!
huyu ni mzuri kwenye vijembe na kubwatukiana ila kuna kipindi alikua kimya sana tofauti na miezi ya mwanzo, uwezo ke kichwani mdogo sana
Ni mzuri kwani baada ya kugundua hana uwezo wa kujenga wala kuchangia hoja zenye mashiko kaamua kustaafu siasa kwa style hii na huko alikokimbilia ndo atakapofia.Mmoja wa Wabunge mizigo wa Chadema. Alikuwa Chadema mwenye uwezo wa ki-ccm