Chiku Abwao ajiunga rasmi na ACT - Wazalendo

KUKU-DUME

JF-Expert Member
Sep 3, 2013
474
196
Wakuu habari yenu,

Mbunge viti maalum Iringa Mjini mh. Chiku Abwao amejiunga rasmi ACT-Wazalendo.

Chanzo: ITV Habari

IMG_7081.JPG
Katibu wa Mipango na mikakati wa ACT-Wazalendo,Habib Mchange akimkabidhi kadi ya mwanachama,aliyekuwa mbunge wa viti maalum Iringa Mjini mh. Chiku Abwao baada ya kujiunga rasmi na ACT-Wazalendo

IMG_7092.JPG


IMG_7120.JPG
Mh. Chiku Abwao akiongea na waandishi wa habari,makao makuu ACT-Wazalendo


IMG_7125.JPG
Sehemu ya waandishi wa Habari.
 
Huyo anamaono...ameshashtukia chadema imekosa dira na kamwe nchi haiwezi kuongozwa na Zombie
weweee chiku abwao ana muono!!!!!! unamfahamu au ushabiki wa kishamba tu,swezi kukusaidia historia yake jibidishe mwenyewe umtafute?huyu ni sawa na gest yake pale mshindo iringa round about
 
anasema eti asingekuwa yeye mchungaji peter msigwa asingeshinda ubunge 2010!!na kama angekuwa ana tamaa yeye ndio angekuwa mbunge wa iringa mjini, amechoka na siasa za visasi za tindu lisu!!! acha mizigo ipungue, na wabunge wengi wa viti maalum wa cdm walikuwa ni mizigo tu kama tindu lisu alivyowahi kusema.
 
Hiyo ni kazi ya kura ya maoni ndio imemfikisha huko, na najua kama mchakato wa ccm ungekuwa bado tungemsikia yuko huko lakini kwa vile anatafuta kula lazima akimbilie huko. HIYO NI KAZI YA SOSOPI.
 
Back
Top Bottom