KUKU-DUME
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 474
- 196
Wakuu habari yenu,
Mbunge viti maalum Iringa Mjini mh. Chiku Abwao amejiunga rasmi ACT-Wazalendo.
Chanzo: ITV Habari
Katibu wa Mipango na mikakati wa ACT-Wazalendo,Habib Mchange akimkabidhi kadi ya mwanachama,aliyekuwa mbunge wa viti maalum Iringa Mjini mh. Chiku Abwao baada ya kujiunga rasmi na ACT-Wazalendo
Mh. Chiku Abwao akiongea na waandishi wa habari,makao makuu ACT-Wazalendo
Sehemu ya waandishi wa Habari.
Mbunge viti maalum Iringa Mjini mh. Chiku Abwao amejiunga rasmi ACT-Wazalendo.
Chanzo: ITV Habari
Katibu wa Mipango na mikakati wa ACT-Wazalendo,Habib Mchange akimkabidhi kadi ya mwanachama,aliyekuwa mbunge wa viti maalum Iringa Mjini mh. Chiku Abwao baada ya kujiunga rasmi na ACT-Wazalendo
Mh. Chiku Abwao akiongea na waandishi wa habari,makao makuu ACT-Wazalendo
Sehemu ya waandishi wa Habari.