Chikawe amvua nguo Tundu Lisu Bungeni!

Chikawe amvua nguo Tundu Lisu Bungeni!

Chikawe amemuumbua Tundu Lisu bungeni jioni hii kwa kutoa ushahidi kuwa Bw. Beatus Kipeya ambaye Lisu na Chadema wanadai kuwa alienguliwa na WDC ya Sombetini asiwe mjumbe wa baraza la katiba la kata kuwa ni mjumbe halali na hivyo kuthibitisha kuwa Tundu Lisu na Chadema anajaribu kulidanganya bunge na wananchi.

hivi Lisu ule ukichaa alishapona?

Mzalendo wa ufisadi au?hujui kwa shinikizo hilo wamemurudisha kiaina,maana barua ya kutaka kuenguliwa iliandikwa na katibu wa CCM na copy ilienda hadi DC,usalama wa taifa,na mpaka CCM taifa,na kwa sasa hivi kama unaangalia bunge shuhudia ubabe wa Makinda,bunge limekaa kama kamati kupitia kifungu kwa kifungu huku kanuni haziruhusu kama wabunge hawatoshi,hawafiki hata nusu lakini Makinda kasema Lisu hajui kama amewaruhusu kwenda sehemu zingine,sasa swali kwanini uruhusu wabunge waondoke kiasi cha akidi kutokutimia.lakn kalazimisha kama kawaida yake.
Na kimsingi hakuna hoja alojibu Chikawe.may be you have squinting ears
 
Chikawe amemuumbua Tundu Lisu bungeni jioni hii kwa kutoa ushahidi kuwa Bw. Beatus Kipeya ambaye Lisu na Chadema wanadai kuwa alienguliwa na WDC ya Sombetini asiwe mjumbe wa baraza la katiba la kata kuwa ni mjumbe halali na hivyo kuthibitisha kuwa Tundu Lisu na Chadema anajaribu kulidanganya bunge na wananchi.

hivi Lisu ule ukichaa alishapona?

vijana wa BAVICHA huwa hawapendi kuambiwa ukweli.
 
Chikawe amemuumbua Tundu Lisu bungeni jioni hii kwa kutoa ushahidi kuwa Bw. Beatus Kipeya ambaye Lisu na Chadema wanadai kuwa alienguliwa na WDC ya Sombetini asiwe mjumbe wa baraza la katiba la kata kuwa ni mjumbe halali na hivyo kuthibitisha kuwa Tundu Lisu na Chadema anajaribu kulidanganya bunge na wananchi.

hivi Lisu ule ukichaa alishapona?

...kwa ujinga huu bado utapewa tsh7,000?...
 

Chikawe amemuumbua Tundu Lisu bungeni jioni hii kwa kutoa ushahidi kuwa Bw. Beatus Kipeya ambaye Lisu na Chadema wanadai kuwa alienguliwa na WDC ya Sombetini asiwe mjumbe wa baraza la katiba la kata kuwa ni mjumbe halali na hivyo kuthibitisha kuwa Tundu Lisu na Chadema anajaribu kulidanganya bunge na wananchi.

hivi Lisu ule ukichaa alishapona



Chikawe amemuumbua Tundu Lisu bungeni jioni

Chikawe ameumbuka bungeni kwa kusema uwongo

ccm wajumbe waliotoa maoni katiba mpya 6,000,000

Chadema wajumbe waliotoa maoni katiba mpya 10,000,000

CUF wajumbe waliotoa maoni katiba mpya 11,000,000

kwa mujibu wa Godfrey Zambi baada ya kuona Chikawe amedanganya mpaka kapitiliza, uzalendo wa kiccm umemshinda na kumuuliza spikaka makinda Je yeye kama spika nini kauli yake kuhusiana na waziri kutowa majibu ya mzaha katika mambo ya msingi.

Anna makinda amuru kuondoa hizo takwimu kwasababu ni uzushi na upotoshaji mkubwa - Chikawe analipotosha bunge (mtazamo wangu)

Kutokana na ukweli kwamba chikawe amelidanganya bunge, huoni kwamba hata hapa amelihadaa bunge kwa

kumrudisha mjumbe kinyemela akiacha kuelezea histoiria ya mgogoro???


hivi Lisu ule ukichaa alishapona

Huoni kwamba wewe ulieye posti mada hii ndiyo mgonjwa??? kama sivyo thibitisha ugonjwa wa Lisu kwa vielelezo vya madakitari.
 
Yaani mijitu mingine bwana sasa wewe utakuwa unakatwa wewe na viwembe...sasa hapa kavuliwaje nguo...unajua unavyoandika hapa unaandikia watu makini kabisa kama hauna cha kupost kaa kimya co u7natuletea v2 vyepesi kiasi hiki!sasa hapo mchezo c umejulikana kuwa presha ndio imesababisha arudishwe!
wa2 wazima cc andika vya msingi
 
Wakati wenye Afadhali kidogo kuliko wewe ,WANAANZA VIBAYA LAKINI WANAMALIZA VIZURI , Wewe umeanza vibaya sana na umemaliza vibaya mno , tena umemaliza kwa Matusi ! Kwa taarifa yako ni kwamba Tundu Lissu haumbuliki wala hafedheheki .
 
Mode mtoa mada arekebishe heading yake.
 
Wakati wenye Afadhali kidogo kuliko wewe ,WANAANZA VIBAYA LAKINI WANAMALIZA VIZURI , Wewe umeanza vibaya sana na umemaliza vibaya mno , tena umemaliza kwa Matusi ! Kwa taarifa yako ni kwamba Tundu Lissu haumbuliki wala hafedheheki .



bora mkuu kama umeliona hilo huyu mtoa mada sijui leo ndio kanunua king`amuzi?
 
humu jf kuna uzi wa hotuba ya lisu hapa chini
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...-katiba-na-sheria-yaibua-makubwa-bungeni.html

na issue inayosema inasema hivi

"Mheshimiwa Spika,

Hata mahali ambapo wananchi wasiokuwa wanaCCM walifanikiwa kupenyeza katika chekecheke la mchujo wa WDC wamefanyiwa mizengwe na wanaCCM ili waondolewe katika orodha ya wajumbe wa Mabaraza ya Katiba ya Wilaya. Mfano mzuri ni yaliyomkuta Bw. Beatus Kipeya aliyechaguliwa mjumbe wa Baraza la Katiba la Wilaya ya Arusha Mjini kwa kupitia Kata ya Sombetini. Mara baada ya Bw. Kipeya kuchaguliwa kwenye kikao cha Kamati ya Maendeleo ya Kata ya Sombetini cha tarehe 8 Aprili, 2013, siku hiyo hiyo Katibu wa CCM Wilaya ya Arusha Allan G. Kingazi alimwandikia Mkuu wa Wilaya ya Arusha barua ya malalamiko juu ya kuchaguliwa kwa Bw. Kipeya.

Pamoja na kumpa Mkuu wa Wilaya ‘salaam za Chama’ chao, Katibu wa CCM Kingazi alilalamika kwamba Afisa Mtendaji wa Kata ya Sombetini amemruhusu “... raia wa Burundi Bwana Beatus Ndanyahubwi Kipea (ambaye katika kugombea ametumia jina la Beatusi Kipea ili asijulikane kama ni Mrundi – ila mtu wa Kigoma yaani Muha) kugombea nafasi ya Ujumbe wa Baraza la Katiba la Wilaya na akashinda, kinyume na maagizo ya Tume ya Katiba, kwamba Mjumbe ni lazima awe Raia wa Tanzania.”

Baada ya maelezo mengi kuhusu ‘Urundi’ wa Bw. Kipeya, Katibu wa CCM Kingazi anamwambia Mkuu wa Wilaya yafuatayo: “... (N)ashauri matokeo ya Uchaguzi wa Wajumbe wa Baraza la Katiba ufutwe na utangazwe upya. Aidha, Afisa Mtendaji huyo achukuliwe hatua za kinidhamu kwa kuvuruga kwa makusudi Uchaguzi wa Muundo wa Baraza la Katiba la Wilaya.”

 
Chikawe amemuumbua Tundu Lisu bungeni jioni hii kwa kutoa ushahidi kuwa Bw. Beatus Kipeya ambaye Lisu na Chadema wanadai kuwa alienguliwa na WDC ya Sombetini asiwe mjumbe wa baraza la katiba la kata kuwa ni mjumbe halali na hivyo kuthibitisha kuwa Tundu Lisu na Chadema anajaribu kulidanganya bunge na wananchi.

hivi Lisu ule ukichaa alishapona?
Mbona hajakataa kama barua ziliandikwa au la? Go back to school, dude.


Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Chikawe amemuumbua Tundu Lisu bungeni jioni hii kwa kutoa ushahidi kuwa Bw. Beatus Kipeya ambaye Lisu na Chadema wanadai kuwa alienguliwa na WDC ya Sombetini asiwe mjumbe wa baraza la katiba la kata kuwa ni mjumbe halali na hivyo kuthibitisha kuwa Tundu Lisu na Chadema anajaribu kulidanganya bunge na wananchi.hivi Lisu ule ukichaa alishapona?
Ebu tusaidiane, nimesoma hotuba ya Tundu Lissu kilichosemwa ni kuwa huyo Bw mara baada ya kuchaguliwa tu aliandamwa na Idara ya Uamiaji baada ya uongoxi wa CCM sehemu hiyo kulalamikia uraia wake, nia ikiwa nafikiri kumuengua. Sikuona sehemu aliyosema ameshaondolewa kwenye orodha ya wajumbe. Mh Chikawe hakujibu tuhuma bali kaamua kutoa taarifa ya kupendezesha. Labuda mimi ndiyo sikuelewa vyema.
 
Ila huyu naibu waziri.kariuki ananikosha sana jinsi anavyopangua hoja.
 
Na huku Nachingwea kwetu naona yeye ndo atakuwa wa mwisho kwa kuiwakilisha ccm kwa tiketi ya ubunge,Na bila shaka hata mwenyewe naona analijua hilo kwani hata ushindi wake ULILETWA NA GIZA! Kwani kula zilizokahesabiwa mchana karibu zote alipitwa kwa tofauti kubwa mno na kamanda Chitanda wa CHADEMA.
 
Hajarudishwa mtu bana sisi tuko huku

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
humu jf kuna uzi wa hotuba ya lisu hapa chini
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...-katiba-na-sheria-yaibua-makubwa-bungeni.html

na issue inayosema inasema hivi

"Mheshimiwa Spika,

Hata mahali ambapo wananchi wasiokuwa wanaCCM walifanikiwa kupenyeza katika chekecheke la mchujo wa WDC wamefanyiwa mizengwe na wanaCCM ili waondolewe katika orodha ya wajumbe wa Mabaraza ya Katiba ya Wilaya. Mfano mzuri ni yaliyomkuta Bw. Beatus Kipeya aliyechaguliwa mjumbe wa Baraza la Katiba la Wilaya ya Arusha Mjini kwa kupitia Kata ya Sombetini. Mara baada ya Bw. Kipeya kuchaguliwa kwenye kikao cha Kamati ya Maendeleo ya Kata ya Sombetini cha tarehe 8 Aprili, 2013, siku hiyo hiyo Katibu wa CCM Wilaya ya Arusha Allan G. Kingazi alimwandikia Mkuu wa Wilaya ya Arusha barua ya malalamiko juu ya kuchaguliwa kwa Bw. Kipeya.

Pamoja na kumpa Mkuu wa Wilaya ‘salaam za Chama’ chao, Katibu wa CCM Kingazi alilalamika kwamba Afisa Mtendaji wa Kata ya Sombetini amemruhusu “... raia wa Burundi Bwana Beatus Ndanyahubwi Kipea (ambaye katika kugombea ametumia jina la Beatusi Kipea ili asijulikane kama ni Mrundi – ila mtu wa Kigoma yaani Muha) kugombea nafasi ya Ujumbe wa Baraza la Katiba la Wilaya na akashinda, kinyume na maagizo ya Tume ya Katiba, kwamba Mjumbe ni lazima awe Raia wa Tanzania.”

Baada ya maelezo mengi kuhusu ‘Urundi’ wa Bw. Kipeya, Katibu wa CCM Kingazi anamwambia Mkuu wa Wilaya yafuatayo: “... (N)ashauri matokeo ya Uchaguzi wa Wajumbe wa Baraza la Katiba ufutwe na utangazwe upya. Aidha, Afisa Mtendaji huyo achukuliwe hatua za kinidhamu kwa kuvuruga kwa makusudi Uchaguzi wa Muundo wa Baraza la Katiba la Wilaya.”


Malizia na yale maneno ya waziri alipokili kweli kuna mapungufu na kutolea mfano;"Baba(diwani wa ccm),mkewe na mtoto wao kufanya jumla ya watu 3 ndio waliojipitisha kama wajumbe wawakilishi wa kata".My take- wakiacha nafasi moja tu na sidhani kama hiyo haikujazwa na rafiki wa familia hiyo.
 
Back
Top Bottom