Chikawe amvua nguo Tundu Lisu Bungeni!

Chikawe amvua nguo Tundu Lisu Bungeni!

mkuu, unajua tafsida ya kmvua nguo mtu ina maana gani? naona huelewi siasa wewe, una uhakika gani kuwa ni mjumbe halali bado? majibu yanatolewa papo kwa papo kuudanganya uma, uliza vizuri ueleweshwe namna ya kucheza hizi karata.
 
Chikawe amemuumbua Tundu Lisu bungeni jioni hii kwa kutoa ushahidi kuwa Bw. Beatus Kipeya ambaye Lisu na Chadema wanadai kuwa alienguliwa na WDC ya Sombetini asiwe mjumbe wa baraza la katiba la kata kuwa ni mjumbe halali na hivyo kuthibitisha kuwa Tundu Lisu na Chadema anajaribu kulidanganya bunge na wananchi.

hivi Lisu ule ukichaa alishapona?

Kwani wewe hujui huyo ni mpayukaji tu, hana lolote ingawa anajifanya yeye ndio anajua sheria zote za nchi. watu wanamuangalia tu. akawapotoshe wapayukaji wenzake chadema.
 



mbona wenzenu wakija na mada za kukisifu chama kisicho chadema, mara nyingi lazima mseme wanalipwa, kwani hawawezi kuwa wakereketwa kama nyinyi. Wana cdm acheni kasumba vumilieni kipigo , hivyo ndivyo siasa ilivyo.

Mmesahau vurugo ya mtwara wana cdm mlivyotamba hapa jukwani, nikongeza senti zangu mbili, katika bunge hili cdm imebainisha kuwa iko tayari kutumia kila njia ili wawe washindi kila mahali, kwani wametua uongo wa hali duni sana na kujiabisha

Mkirindi siku hizi kila mtu anayehoji kuhusu CDM utasikia anaambiwa akachukue 7000 Lumumba hata kama anahoji vitu vya msingi ila mtu akihoji kuhusu CCM au CUF hata kama sio vya msingi utasikia anaitwa kamanda makamanda tubadirike
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom