Chifu wa Usafwa na wengine makumi wahamia CHADEMA

Chifu wa Usafwa na wengine makumi wahamia CHADEMA

One two

Member
Joined
May 27, 2013
Posts
95
Reaction score
36

Katika kutekeleza majukumu ya chama (CHADEMA) na kuhakkisha chama kinafika vijiji vyote kupitia programu ya CHADEMA ni msingi, ofisi ya wilaya mbeya vijijini CHADEMA imeamua kufanya kampeni za kupita viji vyote kufanya mikutano ya hadhara ili kuhamasisha wanachama wengi kujiunga na CHADEMA
Katika mkutano wa leo ulio fanyika katika kata ya Maendeleo kijiji cha Usuha muungano ambacho kina wakazi wasio zidi 150 CHADEMA kimefanikiwa kuvuna wanachama wapya zaidi ya 30 ambao walikuwa ni wanachama wa CCM wanachama hao ni vijana wakina mama na wazee, lakini iliyo funga kazi ni pale chifu (mwene) wa maeneo hayo MAIKO MHIGAA alipo amua kujiunga chadema mzee huyo aliwaambia wanakijiji kuwa wasitishwe na mtu yoyote mana amesha ujua ukweli,
HAPA CHINI NI PICHA TANGU KUELEKEA KWENYE MKUTANO MPAKA WANACHAMA WAPYA WALIPO KUWA WANAKABIDHIWA KADI ZAO MPYA ZA CHADEMA {PICHA YA CHIFU NI HUYO MZEE ANAYE KADHIWA KADI NA MWENYEKITI WA WILAYA MBY V CHADEMA ELIA KAOLILE}















 
Mbarikiwe makamanda hakuna kulala mpaka kieleweke!!
Peopleeeesss!!!
 
Mpaka kufika 2015 atakua amebakia nchemba tu.wakati wapo bize kumshambuli slaa sisi tunawavuna vijijini
 
CHADEMA bado elimu inahitajika vijijini
kuna watu hawaelewi kabisa
Tuambieni tuchangie kweli tunahitaji ukombozi
leo nimeangalia what is in Muhimbili hospital
It is incredible
Tunahitaji mapinduzi tena makubwa
Tusikubali hawa mafisadi watuongoze tena kamwe
Laiti hata wangelijaribu kutujengea hospital moja tuu nzuri wakaweka vifaa tungewashukuru sana
Ila serekali inayosema piga tuu ikijua wazi wanaopigwa wataenda kufia muhimbili au wapate magonjwa ambukizi ili wafe kabisa
Hii ndo serekali tukufu people tuamke
 
MI msafwa original..
usuha ipo sehem gani.?MPOROTO,SIMAMBWE au ITENDE au KAWETELE.?
 
Hongereni CDM KWA KISHINDO HICHO KWA mafisadi and ungaism' zungu aka kinondoni depot.
 
Cdm mumekosa cha kushabikia? Hicho kisampuli cha watu wachache ndo mnakishabikia! Au mnakuza jina la chadema tu coz utawala wa machifu haupo sasa hivi na hawana influence tena kwani nyerere aliwamaliza,cdm mnashangilia mamuluki!
 
MI msafwa original..
usuha ipo sehem gani.?MPOROTO,SIMAMBWE au ITENDE au KAWETELE.?
Mkuu mie mhehe lakini nimezaliwa isanga njia ya kwenda kawetele.

Najua wasafwa wana moto yao wakisema avivi yoyo!...

Kinachofuatia watu kama Dj wanapigwa tairi ya shingo
 

Katika kutekeleza majukumu ya chama (CHADEMA) na kuhakkisha chama kinafika vijiji vyote kupitia programu ya CHADEMA ni msingi, ofisi ya wilaya mbeya vijijini CHADEMA imeamua kufanya kampeni za kupita viji vyote kufanya mikutano ya hadhara ili kuhamasisha wanachama wengi kujiunga na CHADEMA
Katika mkutano wa leo ulio fanyika katika kata ya Maendeleo kijiji cha Usuha muungano ambacho kina wakazi wasio zidi 150 CHADEMA kimefanikiwa kuvuna wanachama wapya zaidi ya 30 ambao walikuwa ni wanachama wa CCM wanachama hao ni vijana wakina mama na wazee, lakini iliyo funga kazi ni pale chifu (mwene) wa maeneo hayo MAIKO MHIGAA alipo amua kujiunga chadema mzee huyo aliwaambia wanakijiji kuwa wasitishwe na mtu yoyote mana amesha ujua ukweli,
HAPA CHINI NI PICHA TANGU KUELEKEA KWENYE MKUTANO MPAKA WANACHAMA WAPYA WALIPO KUWA WANAKABIDHIWA KADI ZAO MPYA ZA CHADEMA {PICHA YA CHIFU NI HUYO MZEE ANAYE KADHIWA KADI NA MWENYEKITI WA WILAYA MBY V CHADEMA ELIA KAOLILE}















Propaganda zenu hizo nyie, angalieni Zimbabwe @
 
Back
Top Bottom