johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,129
Mwenyekiti wa machifu wa Wasukuma Chifu Butale yuko mubashara Star tv akitolea ufafanuzi mjadala uliopamba moto nchini wa nafasi ya chifu katika taifa.
Chifu Butale anasema uchifu siyo ushirikina au uchawi bali uchifu ni uwakilishi wa mungu yaani ni utume na ukuhani.
Chifu Butale anasema yeye mwenyewe ni mkristo wa katoliki.
Updates;
Chifu Butale anasema kwa sasa kuna machifu 92 nchi nzima lakini idadi hiyo itaongezeka sana.
Chifu Butale anaiomba serikali iwe inawapa msaada pale wanapokuwa na uhitaji.
Chifu Butale ametabiri mtangazaji Benard James wa Star tv atateuliwa kuwa Mkuu wa mkoa.
Chifu Butale anasema uchifu siyo ushirikina au uchawi bali uchifu ni uwakilishi wa mungu yaani ni utume na ukuhani.
Chifu Butale anasema yeye mwenyewe ni mkristo wa katoliki.
Updates;
Chifu Butale anasema kwa sasa kuna machifu 92 nchi nzima lakini idadi hiyo itaongezeka sana.
Chifu Butale anaiomba serikali iwe inawapa msaada pale wanapokuwa na uhitaji.
Chifu Butale ametabiri mtangazaji Benard James wa Star tv atateuliwa kuwa Mkuu wa mkoa.