Jamii ya watanzania ilishatoka huko kwenye uchifu!
Na huu upuuzi ukiendekezwa utaturudisha nyuma sana hasa kwenye baadhi ya jamii kwa kuongeza ushirikina na uchawi hivyo kupelekea mauaji kila kona ya nchi!
Ukitizama nchi ya Nigeria ina matatizo mengi sana kwa kuwa inaruhusu uchifu kitu ambacho kinahamasisha matumiazi ya nguvu za giza!
Uchifu pia kwa sehemu kubwa utahamasisha ukabila na umaeneo kwa kuwa Chifu atataka awe mtawala wa jadi hata kama hatambuliki kisheria!
Uchifu pia huendana na matendo ya kafara na mazindiko ya kimila! Kitu kama hiki kitahamashisha mambo kama ya mauaji ya wenzetu wenye ualbino,uuzwaji wa viungo vya binadamu n.k
Nchi itakuwa chini ya shetani haswa kwa kuwa kama unavyoona sasa serkali haizungumzii hata watu kufanya ibada badala yake inasisitiza mambo ya uchifu!
Mauaji ya sasa ni kutokana na roho za kichwawi zinazodai kafara ya damu! Japo kwa macho ya kawaida wanasaikolojia wanadai ni ugumu wa maisha na mahusiano! Kitu amabacho sio kweli kwa kuwa maisha magumu watanzania hawa hawa wanayo miaka yote!! Kwa jicho la kiimani hii ni kwa kuwa mkuu wa nchi kajitwika uchifu na wachawi wanatumia hilo jina la uchifu kuomba damu za kafara na matokeo yake ndo haya ya kuuana ovyo!
Uchifu umeeneza sana uchawi kitu amabacho kiliwafanya watu wa kijijini miaka ya nyuma kutodiriki hata kujenga nyumba nzuri za bati kwa kuhifia kurogwa! Pia vijana wengi wamekufa kwa kurogwa na kutolewa kafara!
Moja ya sababu hata za wenzetu kwenye ualbino ilikuwa ni waganga wa kienyeji kuwadanganya watu kuwa ukipata kiungo cha mwenye ualbino utapata utajiri! Waganga wa kienyeji hawana tofauti na machifu! Maana uchifu ndo mkuu wa waganga wa kienyeji hivyo kuachiwa machifu kujimwayamwaya wanaweza kuleta zahama nchini!
Asanteni sana wadau!
Na huu upuuzi ukiendekezwa utaturudisha nyuma sana hasa kwenye baadhi ya jamii kwa kuongeza ushirikina na uchawi hivyo kupelekea mauaji kila kona ya nchi!
Ukitizama nchi ya Nigeria ina matatizo mengi sana kwa kuwa inaruhusu uchifu kitu ambacho kinahamasisha matumiazi ya nguvu za giza!
Uchifu pia kwa sehemu kubwa utahamasisha ukabila na umaeneo kwa kuwa Chifu atataka awe mtawala wa jadi hata kama hatambuliki kisheria!
Uchifu pia huendana na matendo ya kafara na mazindiko ya kimila! Kitu kama hiki kitahamashisha mambo kama ya mauaji ya wenzetu wenye ualbino,uuzwaji wa viungo vya binadamu n.k
Nchi itakuwa chini ya shetani haswa kwa kuwa kama unavyoona sasa serkali haizungumzii hata watu kufanya ibada badala yake inasisitiza mambo ya uchifu!
Mauaji ya sasa ni kutokana na roho za kichwawi zinazodai kafara ya damu! Japo kwa macho ya kawaida wanasaikolojia wanadai ni ugumu wa maisha na mahusiano! Kitu amabacho sio kweli kwa kuwa maisha magumu watanzania hawa hawa wanayo miaka yote!! Kwa jicho la kiimani hii ni kwa kuwa mkuu wa nchi kajitwika uchifu na wachawi wanatumia hilo jina la uchifu kuomba damu za kafara na matokeo yake ndo haya ya kuuana ovyo!
Uchifu umeeneza sana uchawi kitu amabacho kiliwafanya watu wa kijijini miaka ya nyuma kutodiriki hata kujenga nyumba nzuri za bati kwa kuhifia kurogwa! Pia vijana wengi wamekufa kwa kurogwa na kutolewa kafara!
Moja ya sababu hata za wenzetu kwenye ualbino ilikuwa ni waganga wa kienyeji kuwadanganya watu kuwa ukipata kiungo cha mwenye ualbino utapata utajiri! Waganga wa kienyeji hawana tofauti na machifu! Maana uchifu ndo mkuu wa waganga wa kienyeji hivyo kuachiwa machifu kujimwayamwaya wanaweza kuleta zahama nchini!
Asanteni sana wadau!