makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,839
- 103,938
jamaa ni muwakilishi wa nchi fulani huko na hapo ni kwenye United Nations General assembly
Hiyo pembe ndo kuna gegedo si ndio? Akisimama anaishika? Afu ilivyopinda ndo hivyo hivyo? Yaani basi tu huo mkutano sijui uliishaje😂Waafrika wengine sijui tunakwama wapi, kudumisha Mila zetu....View attachment 1990812
unaita ushirikina kwa sababu kichwani tayari tumeisha pandikizwa ushirikina ulioboreshwa wa kimagharibi na kiarabu.Tatizo kubwa la Mila ni hili:
Lazima iambatane na imani za ushirikina/uchawi