C.T.U
JF-Expert Member
- Jun 1, 2011
- 5,070
- 3,718
Hivi kuna msanii wa Bongo ambaye hajamuimba CHIEF KIUMBE? Ni mdau na mfadhili mkubwa wa wasanii wa muziki wa kizazi kipya na dansi...yeye ndiye mmiliki wa Extra Bongo ya Ali Choki,
Sasa naona kajiingiza katika Bongo Flava na kuimbwa na wasanii kama hussein machozi na wengine wengi good
sasa swali langu ni hili
ni mfadhili wa kweli katika music wa bongo flava au anataka tu kuhujumu kwa intereste zake binafsi coz tumeona wengi wakija kwa gia ya kusaidia mziki wa bongo flava ila matokeo yake wanaua huu mziki
naomba
niwasilishe hili
Sasa naona kajiingiza katika Bongo Flava na kuimbwa na wasanii kama hussein machozi na wengine wengi good
sasa swali langu ni hili
ni mfadhili wa kweli katika music wa bongo flava au anataka tu kuhujumu kwa intereste zake binafsi coz tumeona wengi wakija kwa gia ya kusaidia mziki wa bongo flava ila matokeo yake wanaua huu mziki
naomba
niwasilishe hili