Ila kuna majitu ni makatili na yana roho ya shetani kabisa, yani yanakunywa mpaka uji wa mgonjwa
Sio kila siku ni ijumaa.
Chadema kanda ya ziwa haipo.kuna mabaki machache sana ya kuyasukumizia kwenye mtaro.Mpaka mtakapo wapa wananchi hela zao zilizochangwa kwa ajili ya Tetemeko la ardhi. ..tofauti na hapo kichapo kiko pale pale.
Chadema kanda ya ziwa
haipo.kuna mabaki machache sana ya kuyasukumizia kwenye mtaro.