Said Cosmetics
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 2,001
- 1,586
Kulingana na data inaonyesha kwamba nchi ya tatu kwa matumizi ya madawa ya kulevya ni Afghanistan. Chanzo kikuu ni umaskini uliokithiri kwa vijana wengi.
Je, nchi ya kwanza na ya pili kwa matumizi ya madawa ya kulevya ni zipi? Tufanye nini ili kuhakikisha tunatokomeza hili janga linaloangamiza nguvu kazi ya Taifa?
Sources: Aljazeera
Je, nchi ya kwanza na ya pili kwa matumizi ya madawa ya kulevya ni zipi? Tufanye nini ili kuhakikisha tunatokomeza hili janga linaloangamiza nguvu kazi ya Taifa?
Sources: Aljazeera