Chid Benzi ahukumiwa miaka miwili jela

Chid Benzi ahukumiwa miaka miwili jela

Dotto Mnzava

R I P
Joined
Mar 6, 2014
Posts
864
Reaction score
427
Mwanamuziki wa muziki wa kizazi kipya nchini Tanzania, Rashidi Abdallah Makwaro, Maarufu kama (Chid Benzi) amehukumiwa kifungo cha miaka mwili jela au kulipa faini ya shingili laki tisa bada ya kupatikana na hatia ya makosa matatu ikiwemo kukutwa na dawa za kulevya aina ya heroin yenye thamani ya sh. 38,638, bangi ya sh. 1,720 na vifaa ya kuvutia dawa hizo kijiko na kigae.

Msanii maarufu wa muziki nchini Tanzania,Chid Benz amehukumiwa kifungo cha miaka miwili jela au faini ya shilingi laki tisa kutokana na kosa la kukutwa na dawa za kulevya.
====================

Chanzo: ITV Habari


11020256_692073264236984_1481213526744442641_n.jpg
Mwanamuziki wa muziki wa kizazi kipya nchini Tanzania Rashidi Abdallah Makwaro Maarufu kama (Chid Benzi) amehukumiwa kifungo cha miaka mwili jela au kulipa faini ya shingili laki tisa bada ya kupatikana na hatia ya makosa matatu ikiwemo kukutwa na dawa za kulevya aina ya heroin yenye thamani ya sh. 38,638, bangi ya sh. 1,720 na vifaa ya kuvutia dawa hizo kijiko na kigae
Chanzo: ITV Habari.
 
au......???!!!!..see you downtown ilala mr.chidi...
 
"Big up kwa wanangu mliopo jela mnachapika,big ... subiri siku tu itafika,hata Mandela alikaa,mwishowe wakamwachia"

Chidi Benz pole sana
 
Wakati wa kujirekebisha ndio huu. Akiuchezea na kuingia tena kumi na nane za vyombo vya dola,atalia na kusaga meno
 
mm naona hiyo haisaidia angehukumiwa kwenda rehab na pia apewe hata mwaka wa kufanya kazi za kijamii kuhusu kuelimisha vijana madhara ya madawa mana kumpeleka mtu jela sa nyingine haisaidi
 
Hakutakiwa kupewa option ya kulipa fain ilitakiwa adhabu zote kwa pamoja....nionavyo mimi ila sheria ndio inayotumika na ndio imetumika kumpa adhabu.....
 
Ilitakiwa afungwe na kulipa faini hapo angejifunza kumwachia huru ni kumruhusu kwenda kula unga na kuvuta bangi uraiani.
 
angefungwa angejifunza mengi salsa ndio karuhusiwa kutumia sio kutembea nazo , mbona yake imeisha fasta, hivyooo mmmh wakinafulani bado........ Tanzania zaidi ya uijuavyo
 
....eti angeenda ndo angekuwa gang star kamili, gang star gani anaogopa jela bhahahahhahhhaaaa....

kumbe huyu jamaa hana lolote?? gang star gani anaogopa jela?? bure kabisa.
 
Mama yake anazo,hawezi shindwa kumlipia mwanae laki tisa.
 
angefungwa angejifunza mengi salsa ndio karuhusiwa kutumia sio kutembea nazo , mbona yake imeisha fasta, hivyooo mmmh wakinafulani bado........ Tanzania zaidi ya uijuavyo

Alikiri kosa hizo unazoona zinachelewa wanakua wamekataa kosa
 
mm naona hiyo haisaidia angehukumiwa kwenda rehab na pia apewe hata mwaka wa kufanya kazi za kijamii kuhusu kuelimisha vijana madhara ya madawa mana kumpeleka mtu jela sa nyingine haisaidi
Umeongea la maana sana
 
Back
Top Bottom