Dotto Mnzava
R I P
- Mar 6, 2014
- 864
- 427
Mwanamuziki wa muziki wa kizazi kipya nchini Tanzania, Rashidi Abdallah Makwaro, Maarufu kama (Chid Benzi) amehukumiwa kifungo cha miaka mwili jela au kulipa faini ya shingili laki tisa bada ya kupatikana na hatia ya makosa matatu ikiwemo kukutwa na dawa za kulevya aina ya heroin yenye thamani ya sh. 38,638, bangi ya sh. 1,720 na vifaa ya kuvutia dawa hizo kijiko na kigae.
Msanii maarufu wa muziki nchini Tanzania,Chid Benz amehukumiwa kifungo cha miaka miwili jela au faini ya shilingi laki tisa kutokana na kosa la kukutwa na dawa za kulevya.
====================
Chanzo: ITV Habari
Chanzo: ITV Habari.Mwanamuziki wa muziki wa kizazi kipya nchini Tanzania Rashidi Abdallah Makwaro Maarufu kama (Chid Benzi) amehukumiwa kifungo cha miaka mwili jela au kulipa faini ya shingili laki tisa bada ya kupatikana na hatia ya makosa matatu ikiwemo kukutwa na dawa za kulevya aina ya heroin yenye thamani ya sh. 38,638, bangi ya sh. 1,720 na vifaa ya kuvutia dawa hizo kijiko na kigae![]()