Chid Benz katupia hii picha mtandaoni leo.

Chid Benz katupia hii picha mtandaoni leo.

ndo maisha ya wasanii wetu hayo wakiwa kwenye luninga utawasikia ninaduka la nguo mala sijui nafanya biashara ndogondogo kumbe wizi mtupu
 
Kauza ice cream. Ama kweli ujinga mzigo.
 
hata mimi nimejiuliza swali hili hili, sijui huyu show zake analipwa bei gani, akili ndogo bhana yeye hapo anaona ameuza kwelikweli, usikute sababu ya stimu za ganja anaziona ni dola mia mia....

Ha Ha Ha Ha
 
Viol huyu jamaa si ndiye ambaye harudii mashati ..hehehehw
 
Last edited by a moderator:
Viol huyu jamaa si ndiye ambaye harudii mashati ..hehehehw

Yah!Rashidi a.k.a benzino habadili mashati,ila nashangaa siku kakamatwa na unga airport akiwa kaweka kwenye mfuko wa shati alijitetea hakubadili shati
 
Last edited by a moderator:
Hiyo itakuwa ni bangi ya malawi tu, mtu mzima huwezi fanya hivi bhana.
 
Sasa anamtisha nani na huo mtaji wa mama lishe, kwanza jero ni coins sasa hivi. Hapo hata laki 6 hazifiki.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom