Rashid Makwiro almaarufu kama Chid Benz Msanii wa Bongo fleva ameonekana akiwa pamoja na Msanii Shetta ambaye pia ni Mgombea Ubunge CCM Kata ya Mchikichi wakiwa katika mkutano wa kampeni za mgombea urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Samia Suluhu Hassan iliyofanyika leo Oktoba 22, 2025 jijini Dar es Salaam
Hapo awali Chid Benz aliwai kufanya mahojiano na shirika la habari la BBC ambapo alieleza kuwa anaogopa kujihusisha na vyama vya siasa kama ilivyokawaida kwa wasanii wengine
Soma pia GE2025 - Chid Benz: Naogopa kuchanganya siasa na sanaa yangu, nimetafutwa na Vyama vitatu kwenda kufanya Tamasha
Je ni nini kimempata Chid Benz kwa sasa? yule ambaye baadhi yetu tulimtazama kama msanii anayejitambua na kuwa na msimamo licha ya wenzake wengi kuingia kundini kwa Mama
Hapo awali Chid Benz aliwai kufanya mahojiano na shirika la habari la BBC ambapo alieleza kuwa anaogopa kujihusisha na vyama vya siasa kama ilivyokawaida kwa wasanii wengine
Soma pia GE2025 - Chid Benz: Naogopa kuchanganya siasa na sanaa yangu, nimetafutwa na Vyama vitatu kwenda kufanya Tamasha
Je ni nini kimempata Chid Benz kwa sasa? yule ambaye baadhi yetu tulimtazama kama msanii anayejitambua na kuwa na msimamo licha ya wenzake wengi kuingia kundini kwa Mama