Mahitaji
Kwa ajili ya chicken jalfrezi
Kuku 1 mkate vipande vipande
Curry powder 1 teaspoon
Uzile wa unga (bizari ya pilau) 1 teaspoon
Bizari ya manjano 1/2
Plain yogurt (sio lazma)
Chicken masala upendayo ukikosa tumia tandoor 1/2 teaspoon
Limau 1
Vitunguu maji 4
Nyanya 4 zisage
Nyama ya kopo 2 tablespoon
Kitunguu saumu 1 teaspoon
Hiliki punje 4
Tangawizi 1 teaspoon
Pilipili manga 1 teaspoon
Chumvi kiasi
Viazi (potatoes) 5
Pilipili mboga 1- ukipata ya red fanya nusu red na nusu green
Namna ya kutaarisha chicken jalfrezi
Mueke kuku bizari,chumvi,limao na pilipili manga....mwache akolee walau 30 minutes
Weka sufuria jikoni
Mimina mafuta kidogo
Weka viungo masala,bizari ya pilau,curry powder na hiliki
Kaanga kwa dakika 1
Weka vitunguu maji kaanga kwa dakika 5
Weka saumu na tangawizi
Kaanga vianze kua laini kidogo
Weka kuku,koroga vizuri
Funika kwa ufuniko acha ichemke kwa maji ya kuku mwenyewe
Weka viazi acha viwive kidogo tu
Mimina nyanya,yogurt na pipili mboga
Subir viwive then upua
Weka mezani tayaar kwa kuliwa
Kwa ajili ya chicken jalfrezi
Kuku 1 mkate vipande vipande
Curry powder 1 teaspoon
Uzile wa unga (bizari ya pilau) 1 teaspoon
Bizari ya manjano 1/2
Plain yogurt (sio lazma)
Chicken masala upendayo ukikosa tumia tandoor 1/2 teaspoon
Limau 1
Vitunguu maji 4
Nyanya 4 zisage
Nyama ya kopo 2 tablespoon
Kitunguu saumu 1 teaspoon
Hiliki punje 4
Tangawizi 1 teaspoon
Pilipili manga 1 teaspoon
Chumvi kiasi
Viazi (potatoes) 5
Pilipili mboga 1- ukipata ya red fanya nusu red na nusu green
Namna ya kutaarisha chicken jalfrezi
Mueke kuku bizari,chumvi,limao na pilipili manga....mwache akolee walau 30 minutes
Weka sufuria jikoni
Mimina mafuta kidogo
Weka viungo masala,bizari ya pilau,curry powder na hiliki
Kaanga kwa dakika 1
Weka vitunguu maji kaanga kwa dakika 5
Weka saumu na tangawizi
Kaanga vianze kua laini kidogo
Weka kuku,koroga vizuri
Funika kwa ufuniko acha ichemke kwa maji ya kuku mwenyewe
Weka viazi acha viwive kidogo tu
Mimina nyanya,yogurt na pipili mboga
Subir viwive then upua
Weka mezani tayaar kwa kuliwa