Nebuchadinezzer
JF-Expert Member
- Oct 1, 2018
- 1,403
- 2,549
- Thread starter
- #21
Acha libaki fundisho kwetu sisi.Labda kwa waume matajiri lakini sio mume mlevi anaweza mwambia mke wake wa miaka 40 nilikuwa na genye tu ndio maana nikakuowa. Kwendaaaa zako huko na lisula lako baya
Ndukiiiii![]()
"Tumia komoni sensi"


