geek_girl
Member
- May 26, 2013
- 55
- 14
FACEBOOK (inbox)
Boy: mambo mpenzi
Girl: (seen 3 minutes
ago)
Boy: vipi tafadhari nijibu mpenzi
Girl: (seen 2 minutes
ago)
Boy: lakini kwa nini unaniumiza??
Kwa nini haunijibu?
Girl: (Seen 3 minutes
ago)
Boy: sawa usiku mwema mpenzi,
Nilikuwa nataka kukwambia kwamba nimepokea mshahara wangu wa Laki 5 na nimekuandalia Laki 1 Kwa Ajili Ya Shopping Yako.
Girl: Wow! Kweli? Safi tunaweza kwenda mda huu?
Boy: (Seen 3 minutes
ago)
Girl: jamani nijibu mimi mpenzi, sikuwa online mda uloisha, Lini Tutaenda mpenzi?
Boy: (Seen 2 minutes
ago)
Girl: Najuwa Upo Online Lakini Hautaki Kunijibu, hebu nijibu plz
Boy: (Seen 3 minutes
ago)
Girl: ok sawa usiku mwema nitakuona kesho
Boy: mambo mpenzi
Girl: (seen 3 minutes
ago)
Boy: vipi tafadhari nijibu mpenzi
Girl: (seen 2 minutes
ago)
Boy: lakini kwa nini unaniumiza??
Kwa nini haunijibu?
Girl: (Seen 3 minutes
ago)
Boy: sawa usiku mwema mpenzi,
Nilikuwa nataka kukwambia kwamba nimepokea mshahara wangu wa Laki 5 na nimekuandalia Laki 1 Kwa Ajili Ya Shopping Yako.
Girl: Wow! Kweli? Safi tunaweza kwenda mda huu?
Boy: (Seen 3 minutes
ago)
Girl: jamani nijibu mimi mpenzi, sikuwa online mda uloisha, Lini Tutaenda mpenzi?
Boy: (Seen 2 minutes
ago)
Girl: Najuwa Upo Online Lakini Hautaki Kunijibu, hebu nijibu plz
Boy: (Seen 3 minutes
ago)
Girl: ok sawa usiku mwema nitakuona kesho