Ipo ya kukamata wanao tofautiana na serekaliIvi tanzania tuna cyber army kweli??
Ipo ya kukamata wanao tofautiana na serekaliIvi tanzania tuna cyber army kweli??
Kwanza ujue tofauti ya course zao Na zetu.Wakati sisi tunakomaa Na karibia kila course wao hizo course ndo degree.MF. hapa IT atasoma Database,Networking, O.S,Computer Architecture, graphics n.k wenzetu hizo no degree zinazojitegemea tens kwa miaka 4 .Unafikiri mtalingana baada ya kumaliza chuo?ningekua najua ku hack...wangekoma bank na kna bashte...tatzo nna degree ya mapishi...hata hao walioxoma IT wanashndwa ku hack ata cm zao wenyewe.....maana chuoni maswali yao ni list...define..na list....too bad
sure..lazma watuache axeeeKwanza ujue tofauti ya course zao Na zetu.Wakati sisi tunakomaa Na karibia kila course wao hizo course ndo degree.MF. hapa IT atasoma Database,Networking, O.S,Computer Architecture, graphics n.k wenzetu hizo no degree zinazojitegemea tens kwa miaka 4 .Unafikiri mtalingana baada ya kumaliza chuo?
nchi imejaa vilaza na mabingwa wa kukaririwanashindwa kuhack jf mpaka wanapeleka mahakamani kulazimisha wapewe details