Cheza mbali na IT HACKERS wa N/KOREA.

Cheza mbali na IT HACKERS wa N/KOREA.

Mkuu [HASHTAG]#stonecold316[/HASHTAG] huku Bongo bado sana maana hata walimu wa vyuo vikuu hawafundishi mtu kujifunza bali kuelewa anachoelewa mwalimu wake, ole wako uje na wazo tofauti na jinsi alivyokariri atakulima mkasi au kukufelisha course, kupata IT Wabunifu bado sana ila tulionao ni Wasomaji wa IT.
 
Mkuu [HASHTAG]#stonecold316[/HASHTAG] huku Bongo bado sana maana hata walimu wa vyuo vikuu hawafundishi mtu kujifunza bali kuelewa anachoelewa mwalimu wake, ole wako uje na wazo tofauti na jinsi alivyokariri atakulima mkasi au kukufelisha course, kupata IT Wabunifu bado sana ila tulionao ni Wasomaji wa IT.
Vyuoni watu wametarget kupata GPA zitakazo warahishia kupata kazi faster,wabongo bhana
 
Sisi bado tunahangaika na Viazi tuuu.


Nimepata moja kuhusu Mazoezi yalofanywa na Urusi na Belarus mwezi ulopita (ZAPAD 2017 OR WEST 2017).

inavyosemekana ,, wakat mazoez hayo yakiendelea Nchi za Norway ,Lativia zilikumbwa na Tatizo LA kukatika kwa huduma ya internet!!..... Inavyosemekana Russia ndo ilikua ikijaribisha mifumo yake ya cyber war !!.
 
wanashindwa kuhack jf mpaka wanapeleka mahakamani kulazimisha wapewe details
Hata mimi nilishangaa...

Mwaka jana FBI walinyimwa data za simu ya jamaa aliyekua na kesi ya ugaidi... Baada ya kunyimwa wakai hack ile password ya sim wenyewe na kupata wanachotaka!!
 
ningekua najua ku hack...wangekoma bank na kna bashte...tatzo nna degree ya mapishi...hata hao walioxoma IT wanashndwa ku hack ata cm zao wenyewe.....maana chuoni maswali yao ni list...define..na list....too bad
 
Sisi bado tunahangaika na Viazi tuuu.


Nimepata moja kuhusu Mazoezi yalofanywa na Urusi na Belarus mwezi ulopita (ZAPAD 2017 OR WEST 2017).

inavyosemekana ,, wakat mazoez hayo yakiendelea Nchi za Norway ,Lativia zilikumbwa na Tatizo LA kukatika kwa huduma ya internet!!..... Inavyosemekana Russia ndo ilikua ikijaribisha mifumo yake ya cyber war !!.

Kwa electronic welfare Russia they are second to NONE, anayekaribia kwa karibu ni Israel ONLY.

All in all coding and hacking eastern Europe countries are far ahead of everybody!
 
ningekua najua ku hack...wangekoma bank na kna bashte...tatzo nna degree ya mapishi...hata hao walioxoma IT wanashndwa ku hack ata cm zao wenyewe.....maana chuoni maswali yao ni list...define..na list....too bad

Ndugu uli uweze kuhack ni lazima huko unako hack mifumo yao ya computer na It iwe ya kutosha kwa bongo hatuko intergrated kivile. so kifupi hakuna cha kuhack labda uhack website zao tu.
 
Sisi bado tunahangaika na Viazi tuuu.


Nimepata moja kuhusu Mazoezi yalofanywa na Urusi na Belarus mwezi ulopita (ZAPAD 2017 OR WEST 2017).

inavyosemekana ,, wakat mazoez hayo yakiendelea Nchi za Norway ,Lativia zilikumbwa na Tatizo LA kukatika kwa huduma ya internet!!..... Inavyosemekana Russia ndo ilikua ikijaribisha mifumo yake ya cyber war !!.
Hatari Mkuu
 
Wiki hii wame hack war plan ya mazoezi ya kivita yanayoendelea kati ya US na South Korea kwenye South Korea Sea.
 
Back
Top Bottom