Cheyo aishambulia CHADEMA bungeni

Cheyo aishambulia CHADEMA bungeni

Issue ya mgomo wa madaktari itaicost chadema kuipotezea umaarufu kwa wananchi,ni vyema sasa wakajiweka nao kando na kusonga mbele
 
Ni ujinga na upumbav wa hali ya juu,mtu na akili yako unaleta thread ya namna hii? Jf sasa ni kama gazeti la sani!hii inatusaidia nini sisi? Mashiko hapa yako wapi? Cheyo ili iweje? Zumbukuku kama wewe ni janga kwa tz,hauna mchango wowote zaidi ya kutoa mapovu tu.
 
Mbunge wa Bariadi na Mwenyekiti wa UDP John Cheyo ameshambulia chama cha Demokrasia na Maendeleo-CDM bungeni jioni hii kwamba kinachochea mgomo wa madaktari nchini na kinapaswa kuacha mara moja.

Cheyo pia ametumia muda mwingi kusifu hotuba ya Rais aliyotoa kuhusu madaktari na akaomba wananchi wote wamuunge mkono Rais kwa hotuba yake nzuri.

Kwa maneno yake hayo ya leo Cheyo anaungana na wabunge wa CCM na CUF kushambulia CDM bungeni huku wakiihami Serikali.

That is disgusting, ccm+cuf+udp is equal to coalition of the blind
 
sasa unategemea cheyo atetee upinzani? Akikosea tu ubunge hana.

Vijana jitayarisheni kuwaondoa wazee waliozidi miaka sitini na tano wapumzike jamani. Zile siasa za mwalimu za mwaka 47 za kudanganyana zimepitwa na wakati. Vijana tafakani ndio wakati wenu mchukue hatua, shauri yenu mtakuja kulaumiwa.............
ili waende vijana wakafanye upuuzi kama wanaoufanya baadhi yao bungeni?
 
Huyu mzee alikuwa mjenga hoja mzuri naona ccm washa mbemenda
 
Jidulamabambase,Ng'wanangwa mlimhola? Mzee Cheyo naona ni uzee unamsumbua,better akapumzika sasa,after all chama chake sijui hata kama kina mkutano mkuu,au kamati kuu,maana sijawahi kusikia kupita media au kuambiwa na mtu kuwa kuna halmashauri,kamati kuu wala mkutano mkuu umefanyika.

Najua ni fadhila ya CCM tu na kwa magamba ina wasaidia kwao kuwagawa watu kipindi cha kupiga kura
 
huyo mzee hamna kitu kichwani kazi yake kuchukua machangudoa pale jaques masaki,nilipomuona cku hiyo nikagundua kumbe ndo mana hana akili yani watu wa bariadi wamepata hasara hawna mbunge...
 
Back
Top Bottom