Cheusimangala??????????????????

First Born

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2011
Posts
5,317
Reaction score
1,485
Yuko wapi jamani??
nishakimisssssssss kile kiuno!!!!!!!!!!
room la kulala mwanaume nk


au kajifungua?
au yuko safarini?
au ndo au?
mwambieni ajitokeze jamani niwe napoteza mafeelings!
 
hbu tumpigie simu................kweli inaonesha umemmiss sana
 
Cheusimangala's life is good... anahisi anaishi maisha raha mstarehe...
na Shemeji alomchumbia hapa juzi kati... Kwa sasa akili yake yooote
kaelekeza kwa huyo shemeji... na jf atarudi but mpaka shem awe attended kwanza...
 
Mh!Mi mtazamaji tu!Kaaazi kweli kweli!
 
Cheusimangala's life is good... anahisi anaishi maisha raha mstarehe...
na Shemeji alomchumbia hapa juzi kati... Kwa sasa akili yake yooote
kaelekeza kwa huyo shemeji... na jf atarudi but mpaka shem awe attended kwanza...

mhhhh!!
 
Cheusimangala's life is good... anahisi anaishi maisha raha mstarehe...
na Shemeji alomchumbia hapa juzi kati... Kwa sasa akili yake yooote
kaelekeza kwa huyo shemeji... na jf atarudi but mpaka shem awe attended kwanza...
Wonderful Ashadii!
nAMSHANGAA First Born kwa kuwa nyuma ya wakati!
Cheusi alishatangaza juzi kuwa yuko bize kwa sasa maana amempata mtu anayehisi ni chaguo lake la mwisho!
Hivyo kwa sasa asitumiwe PM za mambo ya nanihii, bali za Business tu.
 
Wonderful Ashadii!
nAMSHANGAA First Born kwa kuwa nyuma ya wakati!
Cheusi alishatangaza juzi kuwa yuko bize kwa sasa maana amempata mtu anayehisi ni chaguo lake la mwisho!
Hivyo kwa sasa asitumiwe PM za mambo ya nanihii, bali za Business tu.

hahahahahahahahaaaaaa!!! Mi nam PM, liwalo na liwe ilimradi tu ajue nimemfikishia ujumbe wangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…