First Born
JF-Expert Member
- Jul 11, 2011
- 5,310
- 1,473
mama mtoto kiuno utasema nyigu!!!!!!!!! hilo li room sasa, utamtaka?FB???!!! Na mpaka huku haya bana
tuma hizo contactshbu tumpigie simu................kweli inaonesha umemmiss sana
ndiyo mkuu, kiuno cha mtoto cm kinanimaliza!!!!!!!duu we fb noma kweli hadi na huyu CM..
Cheusimangala's life is good... anahisi anaishi maisha raha mstarehe...
na Shemeji alomchumbia hapa juzi kati... Kwa sasa akili yake yooote
kaelekeza kwa huyo shemeji... na jf atarudi but mpaka shem awe attended kwanza...
Wonderful Ashadii!Cheusimangala's life is good... anahisi anaishi maisha raha mstarehe...
na Shemeji alomchumbia hapa juzi kati... Kwa sasa akili yake yooote
kaelekeza kwa huyo shemeji... na jf atarudi but mpaka shem awe attended kwanza...
Wonderful Ashadii!
nAMSHANGAA First Born kwa kuwa nyuma ya wakati!
Cheusi alishatangaza juzi kuwa yuko bize kwa sasa maana amempata mtu anayehisi ni chaguo lake la mwisho!
Hivyo kwa sasa asitumiwe PM za mambo ya nanihii, bali za Business tu.
mama mtoto kiuno utasema nyigu!!!!!!!!! hilo li room sasa, utamtaka?
Avatar hiyo wewe.................................