Cheti cha kuzaliwa na cheti cha form four

Cheti cha kuzaliwa na cheti cha form four

Ilikuwaje hadi vitofautiane?
Yani mama yangu ndiye aliye fatilia kipindi hicho nikiwa primary bila kuniambia halafu angeniambiaga ningetumia jina lile alilotumia yeye kwa sababu yeye alitumia la babu mimi nilitumia la ukoo ndipo utofauti ulipo hapo cheti cha kuzaliwa kina jina la babu lkn cheti cha form 4 kina jina la ukoo
 
Kama majina yakitofautiana utaonekana kuana ujanjaunjanja umefanya au natumia cheti cha mtu mwingine
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom