Cheti cha form 4

Cheti cha form 4

Mzee makoti

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2016
Posts
5,090
Reaction score
7,801
Hbr waungwana!
Kuna bwana mdogo yupo hapo Tz, anatakiwa afuatilie cheti cha Form 4,amemaliza mwaka Jana, ananiambia sijui wanalipia Elfu ISHIRINI! Je wanalipia wapi ili kukipata?ni malipo halali ya kisheria yenye risiti za serikali au ?
 
Hbr waungwana!
Kuna bwana mdogo yupo hapo Tz, anatakiwa afuatilie cheti cha Form 4,amemaliza mwaka Jana, ananiambia sijui wanalipia Elfu ISHIRINI! Je wanalipia wapi ili kukipata?ni malipo halali ya kisheria yenye risiti za serikali au ?
Malipo yeyote ya serikali hupitia control number ,kama hayana control number basi kuna utapeli.
 
Nawakumbusha tu kua kuna sheria za shule na sheria za wizara (kama kijana wako anadaiwa na shule anatakiwa alipe deni apewe cheti mf wa deni ni hualibifu wa dawati,vitabu,hualibifu au upetevuji wa vifaa maabara,mchango wa mlinzi,wizi wa vifaa vya shule kama amebainika na ametakiwa kulipa,
 
Nawakumbusha tu kua kuna sheria za shule na sheria za wizara (kama kijana wako anadaiwa na shule anatakiwa alipe deni apewe cheti mf wa deni ni hualibifu wa dawati,vitabu,hualibifu au upetevuji wa vifaa maabara,mchango wa mlinzi,wizi wa vifaa vya shule kama amebainika na ametakiwa kulipa,
sihua wanakaba kwenye result slip!
 
Wizara ya Elimu ilishapiga marufuku shule kuzuia vyeti vya wanafunzi kwa kisingizio cha madeni. Sasa hiyo elfu 20 ya clearance ni sheria ya nchi gani kama sio njaa za walimu kutaka kujipatia ulaji tu?
Maajabu kwakweli
 
Mnamjaza jamaa upepo kwakua ni cheti cha form four lakini hata vyuoni hua ukizidisha muda wa kukifuata unachajiwa.

Huyo dogo aeleze scenario nzima.
 
Nawakumbusha tu kua kuna sheria za shule na sheria za wizara (kama kijana wako anadaiwa na shule anatakiwa alipe deni apewe cheti mf wa deni ni hualibifu wa dawati,vitabu,hualibifu au upetevuji wa vifaa maabara,mchango wa mlinzi,wizi wa vifaa vya shule kama amebainika na ametakiwa kulipa,
Hakuna kitu kama iko
 
Mnamjaza jamaa upepo kwakua ni cheti cha form four lakini hata vyuoni hua ukizidisha muda wa kukifuata unachajiwa.

Huyo dogo aeleze scenario nzima.
Unalipia kwa Control number au
 
Hbr waungwana!
Kuna bwana mdogo yupo hapo Tz, anatakiwa afuatilie cheti cha Form 4,amemaliza mwaka Jana, ananiambia sijui wanalipia Elfu ISHIRINI! Je wanalipia wapi ili kukipata?ni malipo halali ya kisheria yenye risiti za serikali au ?
Cheri cha form na hata form six unachukulia shulemi kwako ulikosoma na hakuna malipo Labda kama aliacha deni shule
 
Wizara ya Elimu ilishapiga marufuku shule kuzuia vyeti vya wanafunzi kwa kisingizio cha madeni. Sasa hiyo elfu 20 ya clearance ni sheria ya nchi gani kama sio njaa za walimu kutaka kujipatia ulaji tu?
Acheni kumjaza upepo huyu mtu.
 
Back
Top Bottom