Niliumizwa na ile sare ila MAN U walipofungwa na vidume WOLVES,ni furaha mtindo mmoja.......
Kumbe ndo mitego hiyo ngoja nimatafute mama mchunga
sorry michelle, sikujua wewe ni mwanaume...dogo ni wewe,usiite wanaume wenzio madogo,hata kule tunaongelea soka....na tukija huku hatunyimwi kuongea lolote.....wala sheria za JF hazijavunjwa,umeelewa dogo??:laugh::laugh::laugh:
Unaweza piga kelele kwa Drog, Nic ama Nando nataka fungua champagne! Ungekuwa basi Barca wale wana defense na pasi za kueleweka
ilibidi nilale mapema jana manake.......
sorry michelle, sikujua wewe ni mwanaume...
kuna angalizo lilitolewa kuhusu diversion (intentional) ya mada haiwi encouraged
Na wewe ni dogo tu, bahati nzuri sana sina muda wa kubishana na rookies
Nyumba imeungua ngoja niage kabisa! see you next week