Liverpool wanapata nafasi nyingi ya kutumia through pass naona hawako sharp kabisa.
Mkuu unaangalia mpira upi?
Mkuu unaangalia mpira upi?
Nilizungumzia specific move,nikiangalia mpira siangalii mchezaji mwenye mpira tu bali naangalia na movement za wachezaji wengine wanaokuwa kwenye nafasi nzuri ya kupokea pasi.
Kwahio pale ni kwamba kuna mtu alikuwa kwenye full speed kushoto kama angeingiziwa mpira alikuwa kwenye nafasi nzuri sana ya kufanya shambulizi.
mambo ya arsenal kwenye swala la kusoma pasi iende wapi si unajua lool.
Please remember that it is a super bowl sunday and my prediction is black and yellow.
YouTube - Wiz Khalifa - Black And Yellow [Official Music Video]