Habari zenu wana jamii forum
Napenda kuwajulisha kuwa nategemea kufunga harusi mwezi ujao,hivyo mimi nikiwa member wa forum nimeona sio vizuri kuwa kimya bila kuwajulisha wana-jamii.
Naomba pia mnisamehe kwa kuchelewa kuwahabarisha ni majukumu ya hapa na pale.
Mungu awabariki,nawakaribisha sana.
Napenda kuwajulisha kuwa nategemea kufunga harusi mwezi ujao,hivyo mimi nikiwa member wa forum nimeona sio vizuri kuwa kimya bila kuwajulisha wana-jamii.
Naomba pia mnisamehe kwa kuchelewa kuwahabarisha ni majukumu ya hapa na pale.
Mungu awabariki,nawakaribisha sana.