Jagina
JF-Expert Member
- Jan 29, 2019
- 5,669
- 2,346
Zitto na zambarau watakuwa wamenasa kati ya mahaba wa Zanzibar na Mama. Mcheza kwao hutunzwa.
Tulipo wana 21% ajira JMT na mengi mafao lukuki wanayoyapata kwa mgongo wa Muungano.
Zenji ndiyo Chatto ya leo. Wazenji sasa hivi wapo kwenye kula na vipofu. Kwani hawautaki Muungano tena? Lugha zao sasa laini...
Si Zitto wala ACT wenye udhibiti wowote wa mambo au hata siasa za Zenji.
Uliwahi kufika Zenj au unaota ??
Nyinyi maneno mengi tu mkisikia kuna kuweka usafi wa mazingira unaofanywa na vikosi vya siro na genge lake nyote mnajifungia vyooni