technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 13,563
- 57,888
Leo Magufuli hayupo
Makonda sio tena mtu wa kuogopwa na mtu kama PM na Siro.
Chalamila sio mtu wa kuchapa watoto wa watu viboko na kuwatisha wazazi wao.
Kelele za Mambosasa na Mruto hazipo tena.
Mabavu ya Sabaya leo ananyea ndoo na kulala saa 12 kama kuku gerezani.
Dunia uwanja wa Fujo lakini ardhi ya Mwenyezi Mungu tuikanyage kwa tahadhari sana.
Mungu atabaki kuwa fundi wa mafundi wote duniani.
Makonda sio tena mtu wa kuogopwa na mtu kama PM na Siro.
Chalamila sio mtu wa kuchapa watoto wa watu viboko na kuwatisha wazazi wao.
Kelele za Mambosasa na Mruto hazipo tena.
Mabavu ya Sabaya leo ananyea ndoo na kulala saa 12 kama kuku gerezani.
Dunia uwanja wa Fujo lakini ardhi ya Mwenyezi Mungu tuikanyage kwa tahadhari sana.
Mungu atabaki kuwa fundi wa mafundi wote duniani.
