Cheo hichooooo

Mr Hero

JF-Expert Member
Jun 11, 2015
5,540
7,455
1462278848600.jpg


 
Pamoja na yote hawa madereva wa STK, STL na SU wanajifanyaga ndiokilakitu barabarani
 
Tufate sheria bila shuruti hakuna wa kuonewa.
-Funga mkanda
-usiende kasi mwendo kasi ni hatari
-Usilipite gari la mbele unapokatazwa kufanya hivyo.
-Fata sheria za usalama barabarani hutaonewa.
6a73e380ac7bd185b9a08febc22bcc45.jpg
4a08c9ad6d9a514eb51276fc8935101e.jpg
 
Pamoja na yote hawa madereva wa STK, STL na SU wanajifanyaga ndiokilakitu barabarani

UMESEMA kweli kabisa....Hata wakielezwa wajirekebishe barabrani huwa hawasikii kabisa, sijui kwanini...
 
Back
Top Bottom