Mgirik
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 13,204
- 13,183
Sawa mkuu..Kwa hili la upishi wa tume hii, hata shetani nitamuamini. Tumekuwa tukiwatahadharisha humu tangu mwanzo.
Sawa mkuu..Kwa hili la upishi wa tume hii, hata shetani nitamuamini. Tumekuwa tukiwatahadharisha humu tangu mwanzo.
Kesho ndio mnaning'nizwa kwa pilatoAcha chuki.muwe na data kamili.ndo muje mtetee wezi wa madini.sioni hoja yako
Wamebaki kina Chenge tu.Nimewahi kusema upinzani wa kweli tz umekwisha umebaki usanii mtupu!
Tanzania daima =mboweUmeliona Tanzania Daima tu Mtanzania hujaliona
Kwa akili hizo ndio tutashindwa kuibiwa kweli?
View attachment 515116 View attachment 515111 Haya mambo ni kuyatazama kwa umakini sana.Wazungu huwa hawaibi "kijingajinga",wanaiba kwa umakini sana,tena wanakuibia kwa wizi wa "kisheria" ulioupitisha mwenyewe bungeni.
Unaposema mikataba ya madini yote,basi unamzungumzia Andrew Chenge na Mzee Mwakalukwa!!Hawa lazima maoni yao uwe makini nayo sana,maana wamekula sana 10% za hawa wawekezaji wakati wa kuandaa na ku-sign mikataba hii.
1998,wakati bunge la kina JPM,Chenge,Mkapa na JK wakipitisha sheria za madini kwa hati ya dharura,Tundu Lissu alikuwa "korokoroni" kwa kuipinga miswaada hiyo,CCM walipitisha mikataba hii kwa uwingi wao na kura za "NDIOOOOOOO"
Hivi mdivyo walivyofanya kwenye mikataba ya mafuta na gesi...Mpaka leo licha ya kuuwa watu na kupeleka jeshi Mtwara,hakuna lolote la maana kuhusiana na gesi.
Hii ni "Political Milage" ya kina Polepole na team yao,lakini itakumbana na upinzani wa ndani ya mfumo na chama.Huwezi laumu wizi wa madini bila kumkamata Chenge,Mkapa na Yona.Lissu aliwaambia miaka na miaka wakafumba macho
Mzungu sio mjinga kiasi hiki...Licha ya Chief Mangungo kutojua kusoma wala kuandika,bado Wajerumani chini ya Carl Peters walimsainisha "mkataba" wa kuuza himaya yake...ili waichukue "kwa uhalali wa mkataba"...Kama 1880's Mzungu alituibia kwa "mkataba",unafikiri leo ataiba "kijingajinga"??
Mikataba hii itawasomba kina Mwandosya enzi akiwa Katibu Mkuu Nishati,kina Chenge kama wanasheria na wasimamiaji wa mikataba...Kama ni wizi,basi hawa CCM na kina Polepole wawe wakwanza kuanza kufumua toka ndani ya chama chao...Vinginevyo ni yaleyale ya kutujaza hasira ili wapate ahueni ya kisiasa!!Tutafakari kwa pamoja!!!
Adui namba moja wa watanzania ni serikali yenyewe. Chenge ana makosa yake kama walivyo mamber wengine wengi tu wa serikali kwa miaka mingi iliyopita. Ila tusimbebeshe zigo lote hili la issue ya madini as if alikuwa anafanya peke yake. Kama watawala wangekuwa na nia ya dhati kuhakikisha rasilimali zinatunufaisha wote then Mzee Chenge asingekuwa na influence yoyote. Tatizo nchi nyingi za Kiafrika vyama vya siasa vinavyotawala hugeuka magenge ya uporaji, huku wakiishi kama familia, kama ndugu wanaounganishwa na kitu kimoja kikubwa, kujilimbikizia mali kwa gharama yoyote. JPM anaonyesha nia lakini mikakati na namna ya kujenga teamwork kufika huko inamchanganya sana, aina ya wanaomzunguka na aina yake ya utawala itakuwa changamoto kubwa sana kufika tuendako.Kweli nimeamini sasa hata Chenge mzee wa mapesa ni kipenzi cha watu!!!!!!!!! Tanzania kweli imeendelea.
Dr.Mwele alipingwa kwa tafiti ipi?Jamani nisameheni, naombeni kujua professional ya change,
Tafiti hupingwa Kwa Tafiti sasa yeye kafanya tafiti gani hadi aje apinge hiyo tafiti? Naona Kuna watu wanamsapot chenge duuh watanzania wengine sijui vichwani mwao kuna vitu gan
Ndio hapo sasa mkuu.Kumbe chenge nae ni mtalamu wa geologia
Mkuu Bujibuji,kwa nini kamati yenu ya ufundi msianze kuiroga CCM ipotee ili tuwe na uhakika wa kuwa na Taifa bora kwa kizazi na kizazi kuliko kuwaroga Acacia then kesho maCCM yanaendeleza u KKK zao kwenye maswala ya msingi?Mahakamani mtatushinda ila wananchi tunashindwa hata kuwapopoa kwa mawe wahaini hawa?
Tukishindwa basi jichawi, mshana jr, MziziMkavu na Bujibuji tukikaa kama kamati ya ufundi twaweza fanya jambo
Adui namba moja wa watanzania ni serikali yenyewe. Chenge ana makosa yake kama walivyo mamber wengine wengi tu wa serikali kwa miaka mingi iliyopita. Ila tusimbebeshe zigo lote hili la issue ya madini as if alikuwa anafanya peke yake. Kama watawala wangekuwa na nia ya dhati kuhakikisha rasilimali zinatunufaisha wote then Mzee Chenge asingekuwa na influence yoyote. Tatizo nchi nyingi za Kiafrika vyama vya siasa vinavyotawala hugeuka magenge ya uporaji, huku wakiishi kama familia, kama ndugu wanaounganishwa na kitu kimoja kikubwa, kujilimbikizia mali kwa gharama yoyote. JPM anaonyesha nia lakini mikakati na namna ya kujenga teamwork kufika huko inamchanganya sana, aina ya wanaomzunguka na aina yake ya utawala itakuwa changamoto kubwa sana kufika tuendako.
Kuwe na kitu au kusiwe, do not limit THE ALMIGHTY SOVEREIGN CREATOR kwa ki piece cha kimoto! Mwenye Enzi Mungu ni mkuu sana!Ule ni mwenge au sanamu!!!
Kuwashwa na kukimbizwa kwa huo mwenge wenu si bure.....kuna kitu.
Nakubaliana na wewe mkuu wengi wanajua tume ilienda kuchunguza madini hadi ya ardhiniI presume they are very aware of what is the practice...Kwanini watu wana draw conclusion hizo bila kwanza kujiuliza? Hawa tume wamecheki mchanga uliokuwepo kwenye containers. Na wametoa angalizo kuwa scanner haina nguvu kiasi cha kuweza ku ona the content. Kwanini basi wasijiulize je huu mchanga unafanana na ule unaochimbwa au la? What if it was amongst many ways ya kutorosha madini? Kwani hawawezi kuchanganya gold yenyewe na mchanga kwa njia zao huku wakijidai ni concentrate wkati humo kuna dhahabu ambayo siyo amalgamates? Then wanakimbilia kusema ooh mchanga hauna hiyo concetrates etc? La pili; Je wanaposema any of commercial value what does that infer? Hawajiulizi maswali kama hayo wanakimbilia ku conclude bila ku deduce kama tume ilivyofanya...Tume ilienda kuchunguza contents zilizomo kwenye container siyo what is contained in the mgodi ambacho hakijachimbwa...Unless I did not understand their ToR...Kama hadidu za rejea ni kilichomo huwezi kutumia sample nyingine zaidi ya ile iliyokuwa packed kutolea conclusion, wao wana base kwenye nini kufikia hiyo conclusion kuwa tume imedanganya? Walienda kupima hizo content za kwenye containers? Hii tu inatufanya tu suspect kwamba wanajua kinachoendelea ndiyo maana wanapata confidence ya ku conclude Rais anadanganywa...
Hakuna facts ambazo zinasimama zenyewe bila kuweka objectives and when the objective change hizo facts haziwezi endelea ku hold water...Hadidu za rejea ndiyo ilikuwa frame ya uchunguzi huo. Hawa hawakuwa wanafanya utafiti wa what is the level of gold and other minerals concentrations kwenye rocks iliyopo kwenye migodi tuliyonayo kitu ambacho wengi ndicho wanachoki base katika arguments zao. Hawa walikuwa wana determine contents na extents za hizo contents katika defined packages kama zinafanana na declarations zilizofanywa na hao walio fanya the same proceedures wanayofanya wao.
Werema na Chenge wanatoa argument za kimaskini sana sijui walifikaje hapo walipo nashangaa au mtu akianza kuwa mzee akili zinapungua?Chenge na Werema wamesoma combination either History, Geography na Language au vinginevyo ambapo ni fully art hakuna hata chembe chembe ya 1+2 sasa leo waliosoma (8/2*3+2-1)=13 yaani BODMAS mnabishana nao kweli nchi hii wakati nnaitafuna mlizani hatutakuja kujumlisha na kutoa? tulieni dawa iwaingie Mhe.Rais endelea kubomoa ukuta tu
Hakika wewe unamjua chenge alitakiwa kuwa Segerea anafundisha sheriaChenge sio mzee, ni mwizi. Mwizi hamushiki mwizi mwenzie. Chenge ana historian ya kuwaibia Watanzania. Chenge ni tajiri mkubwa, tajiri bila ya kufanya kazi. Chenge yuko kwenye kila janga kwa wizi Tanzania. Kwenye rada, Escrow, na wizi wa kila aina. Chenge ni mufano wa Mabutu Seseko wa Tanzania. Chenge anajuwa wizi wote unaotokea hapa kwetu, cha ajabu bado anapiga suit, na bado yuko bungeni. Nashangaa katiba yetu ina inaruhusu watu wenye mikono michafu wenye sifa za wizi wanakuwa Viongozi wetu. Chenge kwenye nchi zenye kupenda haki leo hii Chenge angekuwa anafundisha sheria gerezani.
Lakini maCCM mnampitisha kuwa mbunge kila muhula,na mkampa uenyekiti wa bunge. Nani alaumiwe? Mwananchi wa kawaida ambaye ameaminishwa kuwa Chenge ni fisadi mkubwa lakini wenye mamlaka hawampeleki kwenye mahakama ya mafisadi zaidi ya kumuongezea mavyeo au yule mtu mwenye mamlaka na uwezo wa kumuwajibisha lakini hafanyi hilo?Nawashangaa wasiomjua, ukizungumzia mikataba hovyo ya madini nchi hii unamzungumzia chenge!
Ni sahihi kabisa. Na yeye anajiamini kwa kuwa memo zote zilikuwa zinatoka kwa bwana mkubwa.nchi zenye kupenda haki leo hii Chenge angekuwa anafundisha sheria gerezani