D2050
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 1,902
- 1,067
Hakika hii Nchi inalaana haiwezekani kila siku bungeni wabunge wanalalama kuhusu madini yanavyotoroshwa na makampuni ya uchimbaji
Leo Raisi kayakamata yasiende kwanza huko ughaibuni hadi pale tutakapojilizisha walewale viongozi waliokuwa wanapiga kelele bungeni wamegeuka na kudai hayo makampuni ni hali yao.
Hili taifa linalaana haiwezekani
Leo Raisi kayakamata yasiende kwanza huko ughaibuni hadi pale tutakapojilizisha walewale viongozi waliokuwa wanapiga kelele bungeni wamegeuka na kudai hayo makampuni ni hali yao.
Hili taifa linalaana haiwezekani