SoNotorious
JF-Expert Member
- Sep 11, 2011
- 2,422
- 859
Ni wazi ana mbipu Kikwete!
Ni kama anasema hakuna wa kumfanya lolote.
Kikwete anaweza kuajibisha wanawake Chenge ni heavy weight hawezi hata kumweka kiporo.
Ni wazi ana mbipu Kikwete!
Ni kama anasema hakuna wa kumfanya lolote.
Ni Nchi hii pekee ambapo wezi wa mali za umma wanaweza kujigamba.
Mzee wa madili - Mzee wa mipango - Tuhuma zake ni nyingi tu!!
Rada akaramba akaruka viunzi,
Ndege ya Rais akabugia akaruka viunzi
EPA katia ndani akaruka viunzi
ESCROW kasonda!! sasa hapa hatuna uhakika kama ataruka viunzi kama kawaida yake; kama amejiita Tumbiri hilo ni sahihi kabisa maana tumbili anaweza kuruka toka mti mmoja kwenda mwingine - bila kuhitaji daraja wala kivuko - mnyama huyo ni noma!!
Mzee ni noma!! huna mpinzani inji hii.
Ni Nchi hii pekee ambapo wezi wa mali za umma wanaweza kujigamba.
Inasikitisha sana kwa kweli. TZ haijawahi kuwa na rais anayedharaulika kama JK.
huyu ndo kiboko ya ccm anapiga kila dili ccm hawana uwezo wa kumfanya chochote ndo mwandishi wa katiba ya ccm
Wasijiuzulu bali watafutiwa hizo nafasi kama bunge lilivyoazimia