Ufisadi ulishapoteza maana yake toka wale vinara wa kuusema walipogeuka watetezi wa mafisadi. Watu pekee ninaoamini kwamba wanachukia ufisadi kutoka moyoni ni Dr. Sla na Magufuli tu. Wengine ni maigizo tu.
TEHE! Tehe! Tehe!! Andrew Chenge Yule Yule Mzee Wa Vijisenti, Nyoka Makengeza, Mzee Wa Fursa!! Yule Masakata Yote Ya KIFISADI YUMO!! KWELI Huu Mwaka Tutaona Mengi Mno!!!
Niliwahi kuandika humu kuwa, vigezo vya kuwa kada mzuri wa Ccm ni kutokuwa na aibu,kuwa na uwezo wa kutetea uongo uonekane ni ukweli na ya mwisho mwisho uwe mnafiki.
Niliwahi kuandika humu kuwa, vigezo vya kuwa kada mzuri wa Ccm ni kutokuwa na aibu,kuwa na uwezo wa kutetea uongo uonekane ni ukweli na ya mwisho mwisho uwe mnafiki.
Wakati wa kampeni, Rais Magufuli aliwataka mafisadi kutubu na kutoshiriki tena vitendo hivyo. Nafikiri Chenge ni mmoja wapo wa wale waliotubu na kutakasika!