Mr.kichuli
Member
- Mar 21, 2013
- 29
- 6
Ni sehemu gani hapa Dar kuna majengo ya kifahari na hiyo sehemu ukitoa herufi tano za mwisho unapata jina la chombo cha kupikia jikoni,na hilo ukitoa herufi nne za mwanzo unapata jina la msanii maarufu wa bongo movie..kazi kwenu the great thinkers!