Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,190
- 128,264
Gazeti limegeuzwa juu-chini
Hapana kaka.mkuu wewe ndo umeichora nini??
ha ha ha baba ana missed callMtoto anakoroga chai na kisu.
Paka yupo kwenye dude la kasuku
Baba anajamba.[emoji53]
birika halina mshikio1-Paka yupo kwenye nyumba ya ndege
2-Picha imegeuzwa chini juu
3-Miwani ya huyo dogo inatofautiana size ya lensi
4-birika inamimina chai pasipo kikombe chini
5-lile jiko la moto ni la umeme ila ule unaotoka ni moto wa kuni
6-kile kioo inaonekana kimemiss mshikio mmoja
7-meza karibu na baba haina mguu mmoja
8- baba(or whoever he is) anasoma gazeti juu chini
9-binti anakoroga chai na kisu badala ya kijiko
10-Anayekula mkate slace(slesi) hazilingani
11-Mtoto anaupa mdoli chakula
12-Mshumaa umekuwa connected na umeme
nimemaliza. weka lingine.