Chemsha Bongo

Chemsha Bongo

Tokyo40

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2013
Posts
2,065
Reaction score
1,926
Marafiki watatu wameenda hotelini na na kulipa $30 ($10 kila mtu) kwa karani kukodi chumba. Alipofika Meneja wa hoteli, alimwambia karani, awarudishie $5, chumba ni $25 tu. Amefanya makosa.

Karani akaamua kufanya ujanja. Kwenye $5, Kawarudishia $1 kila Mtu, na kubaki na $2. yaani sasa wamelipa $27 ($9 kila Mtu) badala ya $30.

Swali. Kama gharama ni $27 na karani ana $2, kwa ujumla wa $29, $1 imeenda wapi?
 
Acha ujinga . kama karani ana $2according to you. Wateja wamelipa 27. Kila MTU ana $1 change. 2+27+3= ? Hili hujaliwazia?. Kila MTU kalipa 9. Kapewa change $1. Bado unataka nn
 
Acha ujinga . kama karani ana $2according to you. Wateja wamelipa 27. Kila MTU ana $1 change. 2+27+3= ? Hili hujaliwazia?. Kila MTU kalipa 9. Kapewa change $1. Bado unataka nn

Tulia Mkuu, acha kufoka. Huna ustaarabu!

Hujaelewa swali. Na ile $2 ya karani?
Jipange upya kueleza logic. Usifoke!
 
marafiki ni watatu hivyo kila mmoja alirudishiwa 1$ ambayo kwaujumla ni 3$ ambayo ukijumlisha na 25$ ni 28$ ambayo ukijumlisha na 2$ ya karani unapata 30$
Nafikiri jibu ni hamna $ iliyopotea
 
marafiki ni watatu hivyo kila mmoja alirudishiwa 1$ ambayo kwaujumla ni 3$ ambayo ukijumlisha na 25$ ni 28$ ambayo ukijumlisha na 2$ ya karani unapata 30$
Nafikiri jibu ni hamna $ iliyopotea
Mkuu uko sawa hakuna shilingi iliyopotea hapo
 
marafiki ni watatu hivyo kila mmoja alirudishiwa 1$ ambayo kwaujumla ni 3$ ambayo ukijumlisha na 25$ ni 28$ ambayo ukijumlisha na 2$ ya karani unapata 30$
Nafikiri jibu ni hamna $ iliyopotea

Umepatia


Accounting of Real Money

Before After
Student #1 $10.00 $1.00
Student #2 $10.00 $1.00
Student #3 $10.00 $1.00
Clerk $ 0.00 $2.00
Manager $ 0.00$25.00
Total $30.00 $30.00
 
Back
Top Bottom